Nina bajeti ya 600,000. Simu gani itanifaa?

Nina bajeti ya 600,000. Simu gani itanifaa?

mkuu ungenunua yeboyebo
Nashukuru kwa michango yenu jana nimelipia samsung galax A50 hakika nakiri hela yangu imeenda kihalali. Simu ina nguvu balaa, camera amazying yaan hadi usiku inapiga picha kama mchana, betri masaa 5000 inawezakuwa powerbank
 
Mimi nilichukua Samsung A50 mkuu, screen inch 6.4 super amoled yenye kioo chenye ulinzi wa kuepuka mikwaruzo, battery 4000mAh, floating keyboard, ubawesa kuzoom screen (nieleweke hapa) camera 25mp mbele nyuma, ram 4gb, rom 128gb,inarun android one UI, ina face unlock, fingerprint kwenye screen, ina features nyingi sana za kijanja.
Me nlinunua arusha tsh600k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu.

Nataka kununua simu mpya Samsung ama brand nyingine. Bajeti yangu laki sita na nusu.

Wajuzi wa mambo kwa ka hela haka nitapata simu nzuri ipi. Hasa Samsung. Sipendi kabisa iPhone so usinishauri iPhone.
Kwa mjasiliamali mtaji huu ndani ya mwezi unatengeneza mpunga mrefu
 
Back
Top Bottom