Dee_Aristotle
Member
- May 29, 2021
- 54
- 30
Habari yenu wana jamii, naomba kupewa ushauri, nina bajeti ya 500k je ni TV gani nzuri ya brand ipi na ukubwa upi itanifaa kwa bajeti hii? Kwani siku hizi brand zimekuwa nyingi sana
Inch 32 kwa 500k? Hivi mnaishi mikoaniSamsung inch 32'
Zipo LG smart 4k 43" second hand za UK, na condition yake iko vyema na warranty wa mwaka nakupa, kwa hiyo 500000.Habari yenu wana jamii, naomba kupewa ushauri, nina bajeti ya 500k je ni TV gani nzuri ya brand ipi na ukubwa upi itanifaa kwa bajeti hii? Kwani siku hizi brand zimekuwa nyingi sana
Mpe kijana akajifaidie huko mbele ya safariZipo LG smart 4k 43" second hand za UK, na condition yake iko vyema na warranty wa mwaka nakupa, kwa hiyo 500000.
View attachment 2613255View attachment 2613256View attachment 2613257View attachment 2613258
Sure. Unapata 32" safi kabisa. Au unaweza pata 43" FHD non smart.Ningekua ni mimi kutokana na muda na wakati ningenunua Hisense
Smart ya nnongeza hela kidogo chukua tcl android smart inch 43
Picha hazifungukiZipo LG smart 4k 43" second hand za UK, na condition yake iko vyema na warranty wa mwaka nakupa, kwa hiyo 500000.
View attachment 2613255View attachment 2613256View attachment 2613257View attachment 2613258