Ohhhpppssss....!!Unatafuta ngumi ya nyusi,upasuke damu zitoke.
kununua galaxy s8+ hutajutia pesa yako,naitumia hapa wiki 2 sasa ni simu nzuri sana na imekamilika kila idara
Kwanini unaiuza?
Mpaka useme wewe mkuu nadhani, ataelewa sasa.Kwa budget hio samsung go for A50, ni simu nzuri midrange all around.
Mwanadada huyo!!!!Ohhhpppssss....!!
Kwanini tena mkuu..??
wakuu kuna mtu budget yake 250k anataka infinix, anaweza pata simu gani hapo ?? yan i mean infinix ipi ? me izo simu sizijui kabisa
Used zote hizi
Nilifahamu maana mpya sio bei hizoNdio
Unataka kuona kitu gani ?Umenifanya niwahi afu sijaona kitu naomba msaada zaidi
Jina tuSimu ni tecno y 4
Zingine majanga
Hii anaipata wapiChukua kifaa hiki ww hutajuta mkuuView attachment 1252972