Nina bajeti ya 600,000. Simu gani itanifaa?

Nina bajeti ya 600,000. Simu gani itanifaa?

Holly Star

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
4,373
Reaction score
8,283
Heshima kwenu.

Nataka kununua simu mpya Samsung ama brand nyingine. Bajeti yangu laki sita na nusu.

Wajuzi wa mambo kwa ka hela haka nitapata simu nzuri ipi. Hasa Samsung. Sipendi kabisa iPhone so usinishauri iPhone.
 
Ungeweka huu uzi wako jukwaa la tech ungepata mwongozo mzuri
 
Back
Top Bottom