Nina bajeti ya 600,000. Simu gani itanifaa?

Nina bajeti ya 600,000. Simu gani itanifaa?

Mkuu binadam tunatofautiana mimi siko kwenye hiyo level yako. Japo ni mtumishi wa serikali na kamshahara sio kakubwa take home yangu ya 1.75m inatosha kumiliki hii simu. Nina mtoto mmoja sijawa na majukumu nina nyumba na gari ndogo ya kutembelea so ninaeza hata kusev 1m kwa mwezi jikiamua
Ningekuwa wewe ningenunua ya elfu 30 tu nyingine nikafungua biashara hata ya kuuza matikiti.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom