Nina 1Milioni nifanye biashara gani?

Nina 1Milioni nifanye biashara gani?

Mtu_imara

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2023
Posts
347
Reaction score
499
Ndugu zanguni Wana Jamiiforums naomba ushauri 1M nifanyie biashara gani na mkoa gani unafaa nije niwekeze
 
Kuna mshkaji wang amenambia morogoro wananunua mchele Kwa magunia afu wanauzia mjini .sijui ipoje io bzness Kwa wenye ufahamu wanambie
Unahisi gunia 7 za mchele zitaweza kukupa faida?
 
Tafuta hela kijana milioni moja sio hela ya kufanyia biashara.....
 
Pitia hapa

 
Ndugu zanguni Wana Jamiiforums naomba ushauri 1M nifanyie biashara gani na mkoa gani unafaa nije niwekeze
Hiyo fanya biashara ya mitumba haihitaji uwekezaji mkubwa
Fremu kaki 1 mpaka 2 kutegemeana na eneo
Balo moja kaki 5 mpak 6
 
Back
Top Bottom