ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,706
- 57,207
Ndugu wapendwa,
Nipo katika mahusiano kwa miezi mitano sasa na mdada mmoja na kutokana na kazi na kuishi sehemu tofauti huwa tunaonana naye kwa mwezi mara 1. Nilitegemea nimtambulishe kwa wanafamilia kama mchumba ili mipango ya ndoa angalau tuanze kuifanya hapo mwakani. Week iliyopita nlikwenda kumtembelea anapoishi (Kibaha) lakini nlichokikuta kimenishtua sana.
Makalio yake yamekuwa makubwa sana tofauti na mara ya mwisho nlipomwona kama miezi miwili nyuma. Nina uhakika 100% binti katumia dawa za kichina kukuza hayo makalio kwani kwa bahati nzuri, niliweza kuona kipeperushi kwenye meza yake chenye tangazo la hizo dawa kimeandikwa discovery waooh huku maandishi mengne ya kichina halafu kimechorwa picha ya mwanamke mwenye mavitu makubwa.
Moja kwa moja nikajiridhisha kuwa binti kaamua kuwa mtumiaji wa dawa hizo, kiukweli imeniuma sana sipendi hata urafiki na wanawake wenye ya kichina na amenikwaza kwa sababu me nlimpenda jinsi alivyo na mimi sio aina ya mwanaume wanaotamani makalio makubwa kutoka kwa wanawake.
Kuna kaka yangu amenishauri nimwache eti amedai kuwa wanawake wenye makalio makubwa Artificial wana tabia zinazofanana na malaya.
Nipo katika mahusiano kwa miezi mitano sasa na mdada mmoja na kutokana na kazi na kuishi sehemu tofauti huwa tunaonana naye kwa mwezi mara 1. Nilitegemea nimtambulishe kwa wanafamilia kama mchumba ili mipango ya ndoa angalau tuanze kuifanya hapo mwakani. Week iliyopita nlikwenda kumtembelea anapoishi (Kibaha) lakini nlichokikuta kimenishtua sana.
Makalio yake yamekuwa makubwa sana tofauti na mara ya mwisho nlipomwona kama miezi miwili nyuma. Nina uhakika 100% binti katumia dawa za kichina kukuza hayo makalio kwani kwa bahati nzuri, niliweza kuona kipeperushi kwenye meza yake chenye tangazo la hizo dawa kimeandikwa discovery waooh huku maandishi mengne ya kichina halafu kimechorwa picha ya mwanamke mwenye mavitu makubwa.
Moja kwa moja nikajiridhisha kuwa binti kaamua kuwa mtumiaji wa dawa hizo, kiukweli imeniuma sana sipendi hata urafiki na wanawake wenye ya kichina na amenikwaza kwa sababu me nlimpenda jinsi alivyo na mimi sio aina ya mwanaume wanaotamani makalio makubwa kutoka kwa wanawake.
Kuna kaka yangu amenishauri nimwache eti amedai kuwa wanawake wenye makalio makubwa Artificial wana tabia zinazofanana na malaya.