Ni hivi mkuu, hapo pekundu nilikuwa nachart nae sana nampigia simu, natoka nae out moja moja na story sanaa
hapo penye bluu, katika kumpigia simu huyo X nikawa naongea nae mpaka usiku mnene, jamaa yake akawa anapiga simu kwake na kwangu zote zilikuwa bussy kiasi cha kwamba akahisi na date na galfrnd wake, ndo akaanza kutoa matusi, baadae muda ulienda jamaa akajua sio kweli ikabidi aniombe msamaha, nikamsamehe
hapo penye purple, pamoja na kumsaidia sana katika mambo yake ya shule, na issue ndogo ndogo, care za hapa na pale sasa lakin ananiona kama vile mjinga
Swali
Nikasema sijui nimwache na maisha yake au Nimsaidie??
Asante kwa ushauri, kwa faida yangu mimi na wale ambao hawakunielewa mwanzo