Oooh hi there Excel,uko poa?
mmmh!! apa napata mambo zaidi ya matano kwa wakati mmoja,mara shule,mara mapenzi,mara sijamgegeda,mara nimemsaidia sana,mara rafik kagundu kuwa wapenzi ,mara akaomba msamaha baada ya kujua sio kheeee!!!! mie mashokoramageni jamani kwa alieelewa anifafanulie pls.
kunywa glass ya maji baridi kurecharge ubongo uelewe hadithi ya watoto wa shule
Marafiki hawachukuliani wapenzi
Wewe ni rafiki mnafiki
Nafsi yako inasemaje?
Ati chat za hapa na pale mpaka tukawa wapenzi kwani hukua na mpenzi mwanzo au umekua oppotunistic yani mtu nyemelezi ukisubiri penye upenyo ufa upenyeze rupia
so juzi ulianza chat nae na mpaka leo tayari mlishaanza mambo ya mapenzi ila bado hujamgegedana yeye anasema yupo dilema!?...ebu wacha uzembe hapo huyo kajiweka style ya ki frend with bnefits...kamata umgegede u dnt have to date her.......na hivi unamsaidia basi wakati mpo pamoja wee anza kumshika atalainika mwenyewe
Sio kila hadithi ya watoto uchangie, umeshakuwa mtu mzima alaaa...
ZOBA
Ndo jina linalokufaa mleta mada
!
!
kwanza tatua utata uliopo katika hizo sehemu nilizobold kwanza....hebu tulia kwanza, vuta pumzi vizuri halafu uhadithie vizuri nikuelewe
Kuna rafiki yangu nimwite X ana mpenz wake nimwite Y, niliwaacha chuoni miaka 2 imepita, nilikuwa nafahamiana nao wote, sasa juzi akinitumia friend request kwa facebook, nikamkubalia, bas chart za hapa na pale mpaka ikafika tukawa wapenz, jamaa yake kaja kugundua na mawasiliano naye akaanza kunitukana kupitia simu mm sikumjibu, baadae akaja kugundua sio kweli akaomba msamaha yakaisha
sasa nikawa namsaidia mambo yake ya shule lakn kila nikamwambia X kuhusu mapenz yetu anasema yuko dilema, sijamgegeda bado, namsaidia mambo yake ya shule lakini nimemsaidia karibia nusu bado kidogo, sasa nafikiri kumwacha afanye yake au nimalizie tu kumsaidia, ushauri wenu wakuu
mmmh!! apa napata mambo zaidi ya matano kwa wakati mmoja,mara shule,mara mapenzi,mara sijamgegeda,mara nimemsaidia sana,mara rafik kagundu kuwa wapenzi ,mara akaomba msamaha baada ya kujua sio kheeee!!!! mie mashokoramageni jamani kwa alieelewa anifafanulie pls.
Asante kwa ushauri Mzabzab
Nimekupata watu8, ni hivi sijaharibu uhusiano wa mtu, kilichotokea ni kwamba kumsaidia masuala yake ya shule ikaonekana kama na date nae kitu ambacho sio kweli..
Hata mimi pia nina mpenz wangu
sasa juzi akinitumia friend request kwa
facebook, nikamkubalia, bas chart za hapa
na pale mpaka ikafika tukawa wapenz
sasa nikawa namsaidia mambo yake ya shule lakn kila nikamwambia X kuhusu mapenz yetu anasema yuko dilema, sijamgegeda bado...