Hapana DEMBA, ni hivi wakati namsaidia ilikuwa ni kwa upendo tu, lakn baadae nikadhaniwa na uhusiano nae wa mapenz, na jamaa yake akanitukana, juz wamekuja tena home nimewakaribisha wakamkuta galfrnd wangu jamaa akaanza kuelezea yote, na sasa galfrnd wangu amekasirika hataki kusikia kitu chochote toka kwangu.. Lakn yote kwa sababu ya wema wangu kumsaidia issue zake za shule
Kuna rafiki yangu nimwite X ana mpenz wake nimwite Y, niliwaacha chuoni miaka 2 imepita, nilikuwa nafahamiana nao wote, sasa juzi akinitumia friend request kwa facebook, nikamkubalia, bas chart za hapa na pale mpaka ikafika tukawa wapenz, jamaa yake kaja kugundua na mawasiliano naye akaanza kunitukana kupitia simu mm sikumjibu, baadae akaja kugundua sio kweli akaomba msamaha yakaisha
sasa nikawa namsaidia mambo yake ya shule lakn kila nikamwambia X kuhusu mapenz yetu anasema yuko dilema, sijamgegeda bado, namsaidia mambo yake ya shule lakini nimemsaidia karibia nusu bado kidogo, sasa nafikiri kumwacha afanye yake au nimalizie tu kumsaidia, ushauri wenu wakuu
Kumbe me kilaza kiasi hiki jamani manake sijaelewa chochote.
mbona kwenye maelezo yako unasema mlichart mpaka mkawa wapenzi
Hadithi yake inachanganya....
hii tamthilia mpaka inaisha, sijaielewa!!
Nilifikiri ni mimi peke yangu ndo sijmwelewa.
Candy kisses.. nimekupungia mkono besti!!Hadithi yake inachanganya....
Candy kisses.. nimekupungia mkono besti!!
Kuna rafiki yangu nimwite X ana mpenz wake nimwite Y, niliwaacha chuoni miaka 2 imepita, nilikuwa nafahamiana nao wote, sasa juzi akinitumia friend request kwa facebook, nikamkubalia, bas chart za hapa na pale mpaka ikafika tukawa wapenz, jamaa yake kaja kugundua na mawasiliano naye akaanza kunitukana kupitia simu mm sikumjibu, baadae akaja kugundua sio kweli akaomba msamaha yakaisha
sasa nikawa namsaidia mambo yake ya shule lakn kila nikamwambia X kuhusu mapenz yetu anasema yuko dilema, sijamgegeda bado, namsaidia mambo yake ya shule lakini nimemsaidia karibia nusu bado kidogo, sasa nafikiri kumwacha afanye yake au nimalizie tu kumsaidia, ushauri wenu wakuu
hii tamthilia mpaka inaisha, sijaielewa!!