Nimrudie au nifanye nini?

Nimrudie au nifanye nini?

Mtu akikuringia hamna kurudi nyuma wanarudigi na yao. Ila mwisho wa siku fuata moyo wako.
 
Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.

Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.

Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.

Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?

Ushaur
Usirudiane naye, huyo mshamba atakuwa alipagawa na life ya Chugga, atakuwa kachakazwa sana huku Chugga. Asije kukuambukiza zigo moja la UTI sugu ya The Hub
 
Ajabu kabisa. Hawa ndio wanakwenda School of Law, 90% wanafeli, halafu wanasingizia wakufunzi kuwafelisha, kumbe uwezo wao ndio mdogo. Elimu ya Tanzania kwa sasa imekuwa majanga. Unakutana na mhitimu wa Chuo Kikuu lakini uwezo wake wa kiakili hauna tofauti na aliyeamaliza Kidato cha Nne aliefeli.
nilikuwa nasoma report ya Mwakyembe leo hii, watu hawataki kukubali kuwa uwezo wao ni mdogo. Siku hizi kuna vyuo hata ukimuokota machinga ukampeleka chuo anapata degree bila shida. Sasa hawa ndo wanalalamikia kufelishwa kwakuwa wamezoea vya kunyonga! Na hao 10% walipitaje hata kama ni wachache?
 
Nakushauri waoe wote tia mimba wote utanishukuru badae
 
Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.

Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.

Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.

Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?

Ushauri wenu kwangu.
utoto raha sana. ninyi ndiyo wasomi wa kizazi hiki
 
Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.

Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.

Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.

Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?

Ushauri wenu kwangu.
😅😅😅 Ashapigwa chini Sasa anatafuta loose Ball kama wewe
 
Akili kumkichwa acha kuendeshwa na mapenzi tafuta hela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom