Bk boy
Member
- Nov 18, 2022
- 19
- 17
Hello wana JF, twende kwenyee mada husika.
Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.
Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.
Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?
Ushauri wenu kwangu.
Naitwa Bk, nilikuwa kwenye mahusiano na mwanachuo wa chuo fulan, tulianza mahusiano toka mwezi wa 4, tulidumu kama miezi miwil halafu akaenda field tukatengana kwa muda, mimi nikiwa Moshi yeye yupo Arusha.
Baad ya miezi miwili akawa haeleweki, yaani hajibu kwa wakati, mara asipokee simu. Basi nikaamua kuachana naye kwa amani. Baad ya miezi kadhaa mbele anakuja leo hii ghafla anataka turudiane.
Je, nifanyaje na nina mpenzi mwingine?
Ushauri wenu kwangu.

