herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 29
Epuka mtandao wa ngonooooooooooooooooooooooooooooooooooiooooooooooooooooooooooo
jamani leo nikisema hapa nitakuwa mkali sana ila ebu kijana niambie wote hawa una toka nao as friends ama umesha propose kitu kwao?
alafu mie huwa nina hasira sana na watu ambao wanacheza na utu wa wenzao. ngoja nikae pembeni kwanza. thanks god he is not my KleinMimi ndio maana nimeamua kuwa msomaji tu maana nisijenikala ban ya kwanza tangu nizaliwe!
Huyo wa mwisho,"Jenny",tayari hawezi kuwa naye,maana kuna wakati anamdanganya yuko "shamba",sasa hapo hata hawaishi pamoja.lol!Dah... Nimejitahidi niongee lolote juu ya mada nimetoka hola! Lol
Huyo wa mwisho,"Jenny",tayari hawezi kuwa naye,maana kuna wakati anamdanganya yuko "shamba",sasa hapo hata hawaishi pamoja.lol!
Asha, Mariam na Jenny ni wadada hapa kazini maeneo flani katikati ya Jiji hili la karaha (Bongo Dar-Es-Salaam).
Asha yuko risk management department,Mariam yupo Operations na Jenny nipo nae Credit Department. Hao mabinti kila mmoja ana sifa za kipekee.
SIFA KUU ZA ASHA
1.Ana Miaka 21 - Binti Kigoli
2.Urefu Wake ni about 5'6
3.Ni Slim But Mgongo umetanuka kwa uzuri kabisa. You know What I Mean..lolz
4.Kabila lake ni Mmachame - Kitu Cheupee
5.Mpole ila anaonekana ana wivu sana - B'Coz Akiniona na Chat Na Maduu Wengine Kwa Canteen Huwa Ananipotezea
SIFAA KUU ZA MARIAM
1.Ana Miaka 24
2.Urefu Wake ni about 5'4
3.Sio Mnene Sio Mwembamba - Size Ya Kati
4.Ana Miguu mizuri
5.Ana Hips Za Ukweli - Akivaa Jeans ziko za Friday - Watu Mate Huwatoka Tiririi
6.Ni Muongeaji Sana - Nikiwa Nae I Dont Feel Bored
7.Kabila Lake Ni Mpemba - Lafudhi na Sauti Yake Ya Kubana Huwa Inaniachaga Hoi!!
SIFA KUU ZA JENNY
1.Umri wake ni Miaka 27
2.Rangi yake ni maji ya kunde -
3.Kitu kimeenda hewani about 5'9 akivaa heels huwa tunalingana - am about 6'2
4.Ana Usafiri Binafsi - So Huwa Hanisumbui Sumbui Na Lifti Kama Asha
5.Ana umbo lenye mvuto - Yaani hata kuelezea inakua shida.
6.Anapenda Starehe Sana - Kila WeekEnd Anataka Tutoke At My Own Money (Kwake Cost-Sharing Ni Issue) - Sometimes Huwa Nadanganya Naumwa ama Niko Shamba
So, wadau wa MMU msaada jamani nimpende nani?
Taja sifa zako tuzidadavue hapa na kuona nani atakufaa.