Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

sio mtoto wa mjomba.. ni mtoto wa kaka wa shangazi yangu
Mtoto wa kaka wa shangazi? Mbona sielewi huo udugu. Yani Wewe Una mshua wako, mshua ana dada yake si Ndio? Ambae ndo shangazi yako Sasa. Enhe huyo binti ni nani. Au shangazi ana step brother tena
 
Ni
Nimependa Kiswahili chako. β€˜Kutuangukia ushauri’
 
Pumbavu zako, binamu ni ndugu yako wa damu maana ni mtoto wa shangazo yako. You are blood related, near blood related!
Huyu sio ndugu wa damu. Lakini simshauri kuanza hiyo zinaa yake. Kama anataka amuoe.
 
Wote mmekutana malaya...na acha tamaa

NB: UMALAYA HAUNA MWISHO MZURI ,BINAMU YAKO BADO ANAWEZA KUA NDUGU YAKO CHUKULIA MTOTO WAKO AJE AKAZWE NA BINAMU YAKE HUKO MBELE ITAKUAJE.
 
Mpotezee japo nyama ya hamu
 
Ngono na njaa ndo vitu huwa vinashusha heshima ya MTU

Umetumia gharama kubwa kujijenga Ila unaangukia katika ngono na single mother mtoto wa mjomba wako.

Jaribu kulinda brand don't give a fucky
 
Ngono na njaa ndo vitu huwa vinashusha heshima ya MTU

Umetumia gharama kubwa kujijenga Ila unaangukia katika ngono na single mother mtoto wa mjomba wako.

Jaribu kulinda brand don't give a fucky
si mtoto wa mjomba ni mtoto waa kaka ya shangazi
 
Hata mi sielewi huo udugu wao. Mbona kama ni wa kumulika na tochi
 
Afu K za mabinamu huwaga tamu vibaya mno, Ukianza tu hutoboi! Utamramba mpaka aolewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…