@chakii unataka akushikie bakora akuambie nigegede lol uzembe huo mkuu mpe haki yake....tena usitetemeke fanya apointment ghetto kwako alafu akifa yani akifa no kuongea unamkaribisha na Denda uone kama ......................
Aisee!!
Hapana si kweli uyasemayo mkuu
Mwambie a-edit Uzi wako kwa kuweka apendacho yeye.:teeth:Mkuu hili ni jukwaa huru hakuna restriction, ulitaka nilete mada gani ya kukupendeza wewe.
Hahaaa we mtu unaushauri mgumu kumeza..;-)lijamaa limeshapenda