chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
- Thread starter
- #41
Mkuu hayo huwa yanatokea,inawezekana labda mwanzoni alikudharau kwasababu flan flan kama hali ya kiuchumi,aliona wewe sio type yake au alikuwa na mtu wake
Cha kufanya kama unampenda huyu uliye naye sasa we mwambie Najua ulikoipata hiyo picha na ni ya mpenzi wako wa sasa na akikuambia ndio maana hukukupenda mwambie tu Sawa na shukran, ili aendelee kujihukumu mwenyewe na kupata majibu
Usipate shida wala kuweweseka kwani anajua A-Z of what happened
Nashukuru kwa ushauri mkuu, nitazingatia...