Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Ina maana hujui cha kufanya? au mpaka tukutamkie? gonga mzigo huo...
Hata wazungu sijui kama wanaishi hivyo, maana hiyo ni mpya masikioni mwangu.....Dah, Msichana wa kazi anaingia chumba chenu, Nimeshangaa sijui wenzetu mnaishije?
Umemaliza mkuu...Mtu ukishafikia umri wa kuoa, ina maana tayari wewe ni mtu mzima na una uwezo wa kuongoza familia na kutoa maamuzi yenye busara bila kuomba ushauri ambao wakati mwingine wenye nia mbaya wanaweza kukpotosha. Hebu jiulize kama aliyekuona angekuwa mtoto wako au mdogo wako, ungekuja kuomba ushauri ? Kumbuka kuwa huyo Binti yupo hapo kwa muda mfupi na ataondoka kwao, sasa iweje uwaze kumdhalilisha mkeo, huna ubavu wa kumwambia huyo Binti kuacha hiyo mitego yake mara moja ? Ala, unaitwa Baba, halafu ubaba wako haunekani !!!
Nina mdada wa kazi kuna siku kwa bahati mbaya alinikuta uchi chumbani.
Story yenyewe ilikuwa ivi: Nilitoka kuoga kumbe yeye alikuwa chumbani anachukua nguo za kuvaa watoto shule, sasa mie sikumuona vizuri nikajua tu ni wife kumbe ni yeye, basi kwa kujiachia nilikuwa nimeweka taulo mabegani na uku chini nikiwa mtupu manake yeye alikuwa upande wa pili wa kioo, sina ili na lile kumbe yeye na alishajua mie niko pale na kusema alishindwa kabisa kuwa nijifunike ili yeye apite, badala yake akaamua kupita ivyo ivyo na kuanza kusema samahani mara kaniamkia uku akipita nyuma yangu mikiwa sina ata chupi.
Mi kuona vile na sikuwa na la kufanya nikaamua kumuangalia tu na sikusema chochote.
Basi tangia siku ile kitu nilichokiona ni kama anataka kulipa fadhila za kuuona uchi wangu manake mara anakaa mapaja wazi , mara anajifanya amelala uku sehemu ya mwili wote wa mapaja ikiwa wazi uku akiwacha sehemu ya mlango wa chumbani kwake wazi ili nami nimuone na anafanya ivyo wakati wife hayupo nyumbani.
Sasa wadau mitihani imekuwa mingi akijikosha kwa alilolifanya na kwa kweli sijamwambia wife kuhusu lile tukio lote, ni mimi na yeye tu tunaojua.
Naombeni ushauri wadau nimfanye nini uyu dada wa kazi manake sasa vituko vimezidi nyumbani manake ni kama mtu anataka kuweka mambo sawa kwa kuwa ameniona nikiwa mtupu nae anataka mi nimuone vile vile.
nilisikia wanawake wanatumia hisia kufikiri nakushangaa wewe unatumia akili
Mi nilitaka kulipiza kisasi naye angalau nimmege ili nimuone naye akiwa mtupu kama mie ila nafikiria sana kuwa kitawaka manake itakuwa mazoea nikishalianzisha, na kitu kizuri ni kwamba tulishakaa nae pale miaka minne sasa
Mkuu, hata nguo za watoto ziko chumbani kwa baba, kwahiyo huwezi jua hata housegirl anaogea wapi
ya watu tuyaache tu
Mambo mengine huwa nashindwa hata kuwaza.Inakuaje msichana anaingia chumba chako tena wakati huo na mwanaume upo ndani.Ndio hao hao hadi mashuka wanafuliwa na wasichana wao na kwanini nguo za watoto zisikae chumba chao?
Nina mdada wa kazi kuna siku kwa bahati mbaya alinikuta uchi chumbani.
Story yenyewe ilikuwa ivi: Nilitoka kuoga kumbe yeye alikuwa chumbani anachukua nguo za kuvaa watoto shule, sasa mie sikumuona vizuri nikajua tu ni wife kumbe ni yeye, basi kwa kujiachia nilikuwa nimeweka taulo mabegani na uku chini nikiwa mtupu manake yeye alikuwa upande wa pili wa kioo, sina ili na lile kumbe yeye na alishajua mie niko pale na kusema alishindwa kabisa kuwa nijifunike ili yeye apite, badala yake akaamua kupita ivyo ivyo na kuanza kusema samahani mara kaniamkia uku akipita nyuma yangu mikiwa sina ata chupi.
Mi kuona vile na sikuwa na la kufanya nikaamua kumuangalia tu na sikusema chochote.
Basi tangia siku ile kitu nilichokiona ni kama anataka kulipa fadhila za kuuona uchi wangu manake mara anakaa mapaja wazi , mara anajifanya amelala uku sehemu ya mwili wote wa mapaja ikiwa wazi uku akiwacha sehemu ya mlango wa chumbani kwake wazi ili nami nimuone na anafanya ivyo wakati wife hayupo nyumbani.
Sasa wadau mitihani imekuwa mingi akijikosha kwa alilolifanya na kwa kweli sijamwambia wife kuhusu lile tukio lote, ni mimi na yeye tu tunaojua.
Naombeni ushauri wadau nimfanye nini uyu dada wa kazi manake sasa vituko vimezidi nyumbani manake ni kama mtu anataka kuweka mambo sawa kwa kuwa ameniona nikiwa mtupu nae anataka mi nimuone vile vile.
ikiwa huna nia mbaya na huyo dada mpeleke kwao maana itafikia hatua uvumilivu utakushinda na kumkaribisha ibilisi kati yenu..........ila hapo kwa ubinadamu huyo dada kakosa heshima sana na imeonesha ni jinsi gani mnampa uhuru ulopetuka mipaka. housegairl aingie ndani akukute naked then umuangalie tu bila kufanya tukio la kusitir maungio ahahahahaha hailet maana.