Nimfanye nini huyu Mdada wa kazi?

Nimfanye nini huyu Mdada wa kazi?

hii ni fasihi simulizi+andishi...
Hapo itabidi utoe ushauri huku ukireview kwenye jamii yako.
Imagine ndio faza house wako yanampata haya itakuwaje?.
Hapa jf kila kitu fake

Hata ww feki
 
kwasababu na ww ni mtu mzima basi fanya hicho ambacho moyo na akili yako vimekutuma....

Kama nafsi yako imedhamiria hvyo hvi unafikiri mm na Khantwe tukuambie achana naye unafikir utatuona wa maana? Au nafsi yako itaridhika wakat umedhamiria kufanya uzinz na mtoto wa mwanaume mwenzio?

As if we hufanyi....lol
 
Last edited by a moderator:
Nina mdada wa kazi kuna siku kwa bahati mbaya alinikuta uchi chumbani.
Story yenyewe ilikuwa ivi: Nilitoka kuoga kumbe yeye alikuwa chumbani anachukua nguo za kuvaa watoto shule, sasa mie sikumuona vizuri nikajua tu ni wife kumbe ni yeye, basi kwa kujiachia nilikuwa nimeweka taulo mabegani na uku chini nikiwa mtupu manake yeye alikuwa upande wa pili wa kioo, sina ili na lile kumbe yeye na alishajua mie niko pale na kusema alishindwa kabisa kuwa nijifunike ili yeye apite, badala yake akaamua kupita ivyo ivyo na kuanza kusema samahani mara kaniamkia uku akipita nyuma yangu mikiwa sina ata chupi. Mi kuona vile na sikuwa na la kufanya nikaamua kumuangalia tu na sikusema chochote.
Basi tangia siku ile kitu nilichokiona ni kama anataka kulipa fadhila za kuuona uchi wangu manake mara anakaa mapaja wazi , mara anajifanya amelala uku sehemu ya mwili wote wa mapaja ikiwa wazi uku akiwacha sehemu ya mlango wa chumbani kwake wazi ili nami nimuone na anafanya ivyo wakati wife hayupo nyumbani.

Sasa wadau mitihani imekuwa mingi akijikosha kwa alilolifanya na kwa kweli sijamwambia wife kuhusu lile tukio lote, ni mimi na yeye tu tunaojua.

Naombeni ushauri wadau nimfanye nini uyu dada wa kazi manake sasa vituko vimezidi nyumbani manake ni kama mtu anataka kuweka mambo sawa kwa kuwa ameniona nikiwa mtupu nae anataka mi nimuone vile vile.

Abatmwe, shetani yu njiani mwako, anataka utende maovu. Ukiwa baba unashindwa nini kumkemea na vitendo vyake vya kifirauni?

Ikiwa una nyege ni bora ukatafute malaya huko nje lakini sio kumchanganya mkeo na msichana wa kazi.

Inaelekea akili zako na huyo msichana wa kazi ziko sawa sawa kabisa. After all, huyu msichana inakuwaje aingie ndani kwako bila utaratibu? Mimi kwangu hata wanangu wa Miaka mitatu wakitaka kuingia chumbani kwangu huwa wanabisha hodi.

Wewe una matatizo makubwa..... nenda ukaombewe dhambi inaota mlangoni mwako.. Kimbia hiyo zinaaa
 
Last edited by a moderator:
Fanya kama vile dunian uko mwenyewe yaana
Huna wa kumwonba ushauri then utuletee str iliyokamilika
 
Mi nilitaka kulipiza kisasi naye angalau nimmege ili nimuone naye akiwa mtupu kama mie ila nafikiria sana kuwa kitawaka manake itakuwa mazoea nikishalianzisha, na kitu kizuri ni kwamba tulishakaa nae pale miaka minne sasa

Tayari umeshampa nafasi sheytwan katika mawazo yako. Chunga sana!

Kama unamuona anasumbuka mwambie asiwe anaingia chumbani mwako ukiwa hujatoka, PERIOD
 
kiufupi wewe unamtamani dada wa kazi ila unaogopa matokeo mabaya hapo nyumbani ndo unataka upate uzoefu kwa wengine.
nakusauri toa fikra chafu hizo ili uishi kwa amani na familia yako.badaye atasumbua huyo binti hapo kwenu acha tu.usijaribu kaka.tabia chafu mwisho wake mbaya utajuta alafu jihurumie kuna maukimwi vile vile hujui nani anagonga dada wa kazi usikute sokoni wagonjwa wanamega ni hatari sana wadada wa kazi
 
Mzee usisubutu kimla, jiulize utakuwa unakula mpaka lini? kwa yaarifa yako hg analiwa kavu, mwisjo wake huwa ni mimba.
 
Kama hili ndilo lengo lako yafaa nini kutusumbua kwa kutaka ushauri?

Mi nilitaka kulipiza kisasi naye angalau nimmege ili nimuone naye akiwa mtupu kama mie ila nafikiria sana kuwa kitawaka manake itakuwa mazoea nikishalianzisha, na kitu kizuri ni kwamba tulishakaa nae pale miaka minne sasa
 
Kwanza hiyo nyumba yenu mbona haina maadili hivi inawezekanaje house girl anaingia chumbani una polala na mkeo. We huoni tu mpaka hapo maadili hakuna
 
Mtishie akiendelea na tabia yake ya mitego kibarua kitaota nyasi
 
Kisaikolojia hapo tunasema un arationalize na ku project.

Vitu unataka kufanya wewe lakini makosa unataka kumbandika yeye iwe kama yeye ndo kataka kufanya.
 
Back
Top Bottom