suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
hii ni fasihi simulizi+andishi...
Hapo itabidi utoe ushauri huku ukireview kwenye jamii yako.
Imagine ndio faza house wako yanampata haya itakuwaje?.
Hapa jf kila kitu fake
Hata ww feki
hii ni fasihi simulizi+andishi...
Hapo itabidi utoe ushauri huku ukireview kwenye jamii yako.
Imagine ndio faza house wako yanampata haya itakuwaje?.
Hapa jf kila kitu fake
ndio mara yake ya kwanza kupost
nilisikia wanawake wanatumia HISIA kufikiri nakushangaa wewe unatumia akili
kwasababu na ww ni mtu mzima basi fanya hicho ambacho moyo na akili yako vimekutuma....
Kama nafsi yako imedhamiria hvyo hvi unafikiri mm na Khantwe tukuambie achana naye unafikir utatuona wa maana? Au nafsi yako itaridhika wakat umedhamiria kufanya uzinz na mtoto wa mwanaume mwenzio?
Nina mdada wa kazi kuna siku kwa bahati mbaya alinikuta uchi chumbani.
Story yenyewe ilikuwa ivi: Nilitoka kuoga kumbe yeye alikuwa chumbani anachukua nguo za kuvaa watoto shule, sasa mie sikumuona vizuri nikajua tu ni wife kumbe ni yeye, basi kwa kujiachia nilikuwa nimeweka taulo mabegani na uku chini nikiwa mtupu manake yeye alikuwa upande wa pili wa kioo, sina ili na lile kumbe yeye na alishajua mie niko pale na kusema alishindwa kabisa kuwa nijifunike ili yeye apite, badala yake akaamua kupita ivyo ivyo na kuanza kusema samahani mara kaniamkia uku akipita nyuma yangu mikiwa sina ata chupi. Mi kuona vile na sikuwa na la kufanya nikaamua kumuangalia tu na sikusema chochote.
Basi tangia siku ile kitu nilichokiona ni kama anataka kulipa fadhila za kuuona uchi wangu manake mara anakaa mapaja wazi , mara anajifanya amelala uku sehemu ya mwili wote wa mapaja ikiwa wazi uku akiwacha sehemu ya mlango wa chumbani kwake wazi ili nami nimuone na anafanya ivyo wakati wife hayupo nyumbani.
Sasa wadau mitihani imekuwa mingi akijikosha kwa alilolifanya na kwa kweli sijamwambia wife kuhusu lile tukio lote, ni mimi na yeye tu tunaojua.
Naombeni ushauri wadau nimfanye nini uyu dada wa kazi manake sasa vituko vimezidi nyumbani manake ni kama mtu anataka kuweka mambo sawa kwa kuwa ameniona nikiwa mtupu nae anataka mi nimuone vile vile.
Mi nilitaka kulipiza kisasi naye angalau nimmege ili nimuone naye akiwa mtupu kama mie ila nafikiria sana kuwa kitawaka manake itakuwa mazoea nikishalianzisha, na kitu kizuri ni kwamba tulishakaa nae pale miaka minne sasa
Mi nilitaka kulipiza kisasi naye angalau nimmege ili nimuone naye akiwa mtupu kama mie ila nafikiria sana kuwa kitawaka manake itakuwa mazoea nikishalianzisha, na kitu kizuri ni kwamba tulishakaa nae pale miaka minne sasa
House girl anaingia chumbani kwako..??
jaribu ufe na ngoma