Nimfanyaje mke wangu! Kwa tabia hii?

Nimfanyaje mke wangu! Kwa tabia hii?

Mkuu hili suala nalo ni la kuleta watu wakupe ushauri ni mkeo au ni mwanamke unaishi nae? Kweli wanaume wamepungua sana siku hizi,pole sana!
Ulikuwa hujui hakuna wanaume.siku hizi. Wengi ni wako chini ya wake zao hawana saut zaidi ya kuja hapa wanajifanya wababe kumbe wakiwa na wake zao kimya hunyweaaa.
 
Huna nauli ya kwenda kwenye hiyo nyumba au? Au wanakaa mbinguni huyo mkeo aache kuishi kishamba shamba anawaonea haya hao wanawake msaidie kumuondolea hao parasites
Isje kuwa ni wanaume zake hao maana siku hizi kuna usagaji jamani why awatetemekee hao kuna.nini... ???
 
Ulikuwa hujui hakuna wanaume.siku hizi. Wengi ni wako chini ya wake zao hawana saut zaidi ya kuja hapa wanajifanya wababe kumbe wakiwa na wake zao kimya hunyweaaa.
Inauma sana kwa kweli kama tu suala la kumwambia mke wangu hili suala mi silipendi liache unashindwa yakija mambo makubwa utafanyeje kuyatatua?
 
Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!

Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri.
Tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.

Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.

Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.

Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs. Bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula.
Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop!
Binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Kuna mawili...
1. Kuna njemba inamkula mkeo na mashosti zake ndo wanatumika kuficha siri.
2. Mke wako anasagwa na mashosti zake.

Solution:

Tongoza hao mashosti ukifanikiwa wapige miti mpk mkeo ajue...

Ukishafanya hayo njoo uanzishe thread vijana wengine wapate somo
 
Ni kweli mkuu! Na ana wivu mkali kuliko maelezo.
Hao wadada ni marafiki zake wazuri lakini huwa harusu hata mmoja apande gari yangu, asipokuwepo!!
Jitafunie mkuu, kama vipi nipasie mmoja tusaidiane teh teh
 
1: yaonesha mkeo mama huruma hela yake hukudumia wenxake.. sasa mwambie yako nayo hutoi hata kidogo ktk.ujenxi kwani hela xeni zinatakiwa zifanye maendeleo yenu na sio yako tu..
2: Akiba ya hela mfanye mengine na sio kuhudumia watu wazima
3: kuwa mwanaume sio muoga muoga ndugu, wanaume km nyie ungeniuliza huu ujinga tuko wote ningekupa bonge la kofi kukuweka sawa akili yako...
4: kumbuka sisi wanawake tukipata pa kuchexea tunaxhezea sana hasa mme akiwa bwanyenyeee hana neno ndani..
 
Ni kweli mkuu! Na ana wivu mkali kuliko maelezo.
Hao wadada ni marafiki zake wazuri lakini huwa harusu hata mmoja apande gari yangu, asipokuwepo!!
Anza kuwasifia mbele ya mkeo, tena wape sifa zote ambazo hata mkeo haujawahi kumsifia, hata mkiwa wawili chumbani na mkeo wewe wasifie tu hadi akwazike sana. kwa akili za wanawake ataanza kuwachukia na kuwaweka mbali
 
Kuna mawili...
1. Kuna njemba inamkula mkeo na mashosti zake ndo wanatumika kuficha siri.
2. Mke wako anasagwa na mashosti zake.

Solution:

Tongoza hao mashosti ukifanikiwa wapige miti mpk mkeo ajue...

Ukishafanya hayo njoo uanzishe thread vijana wengine wapate somo
Dah yaa kama nilichocomment hapo chini huyo atakuwa anasagwa au hao.mashosti wanajua siri za mkewe ndo hutumia hiyo kitu kumtishia kafanywa kama taahira au msukule wao.
 
Ndo hapo yaan mme anamuogopa mke hii kali kabisa na nyuzi nyingi wanaume huleta kisa mme kuwa muogaaa..
Hii hata akinyimwa ........ hana neno anaenda piga nyetooo
Inauma sana kwa kweli kama tu suala la kumwambia mke wangu hili suala mi silipendi liache unashindwa yakija mambo makubwa utafanyeje kuyatatua?
 
Mkuu kwani huna sauti kwa mke wako? Mpige stop... hakika sio tabia nzuri hiyo
Kukàimisha baadhi ya majukumu yanayotaka pesa kwa mke kunashusha hadhi ya mwanaume ndani ya nyumba na kumfanya ashindwe kuhoji baadhi ya mambo ambayo anaona hayaendi sawa..

Hapa mke atauliza kwani pesa yako?

Huyu awajibike kwa kila kitu, mke akichangia amependa but sio kuweka agreement àmbazo zinasababisha matatizo baadae na unakosa guts za kuhoji au kuchukua maamuzi magumu
 
Back
Top Bottom