Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Thamani yake hamuijui naijua mie mapenzi yake matamu wacha niwambie makubwa nimeona kwake sitaki niwahadithie niacheni na mpenzi wangu mapenzi anayonipa yanakata kiu yangu me jamani huyu ni wangu nimempenda mie...nakupenda sana PESA a.k. Money,mkwanja,chapaa,mullah,chisendi,paper