Natakakutulia
Member
- Jan 20, 2020
- 56
- 385
- Thread starter
- #81
Simkosei anipige kisa nini? Kwanza yeye akitaka kuniua wala ahangaiki na bastola ngumi yake moja tu nishakufa maana ni komando sio mjeda wa kawaida.hawachelewi kukupiga bastola HAO kuwa Makini