Nimezama kwenye penzi la mjeda, sioni sisikii

Habari wanajamvi,

Acha niongee maana penzi limenikaba koo sifurukuti. Natamani kuhadithia raha nazopata jamani, sikuwahi dhani kuna mapenzi matamu hivi hasa kutokana na kutendwa huko nyuma jamani.


Tunashukuru kwa taarifa. Ila tunza heshima anayokupa. Sababu hao watu wamesomea kuua watu tuu na si kingine
 
Nimekula wake saba wa wajeda.

Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda

Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona

Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa

Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka

Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepakama mpepo
Subiri risasi zije zikule na wewe jeutasimuliaa?
 
Nimekula wake saba wa wajeda.

Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda

Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona

Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa

Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka

Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepakama mpepo
Unatembea na "wake za watu?" na upo na furaha? Hauoni kwamba unajifanyia vibaya? Hauoni wewe ni wa thamani na unastahili zaidi ya unavyojipa?
 
Nimekula wake saba wa wajeda.

Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda

Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona

Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa

Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka

Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepakama mpepo
Jiandae nawe kuliwa very soon,usiache kutembea na KY kila uendapo.
 
Nimekula wake saba wa wajeda.

Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda

Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona

Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa

Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka

Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepakama mpepo
Sidhani kama hili ni jambo la kujisifia. Change your attitude this is not the traits of real men.
 
Back
Top Bottom