Tunashukuru kwa taarifa. Ila tunza heshima anayokupa. Sababu hao watu wamesomea kuua watu tuu na si kingineHabari wanajamvi,
Acha niongee maana penzi limenikaba koo sifurukuti. Natamani kuhadithia raha nazopata jamani, sikuwahi dhani kuna mapenzi matamu hivi hasa kutokana na kutendwa huko nyuma jamani.