Nimezama kwenye penzi la mjeda, sioni sisikii

Nimekula wake saba wa wajeda.

Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda

Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona

Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa

Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka

Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepakama mpepo
Hhhha hi chai
 
Back
Top Bottom