Nimewaona,nimemshukuru Mungu

I had a funny feeling... which is no mo'....lol

Enways.. the way umekuja... umekuja perfectly... Your Avatar is engaged to your signature and married to your posts.. Keep it up.

Hahaha,i never imagined so.
thanks once again.
 
Sikuchaguliwa darasa la saba kati ya kumi waliopata nafasi tulikuwa kama mia,ila ambao hatukuchaguliwa std 7 ndio tuliopata div one f4!btw wengi tuliomaliza std tumekutana college,tuna kumbukumbu yetu mwezi wa december wengi wetu tunamshukuru kimaisha!
 
Mbona kila anaechangia hakuna asemae kuwa alifeli? Au ndio kama zile za baba kujisifu kuwa alikuwa namba moja darasani lakini akaishia la saba.
<br />
<br />
Mkuu wewe utakuwa wa juzijuzi tu na hutaki kujua elimu ya bongo imepitia wapi. Hadi miaka ya 80 kuna maeneo ulikuwa unakuta ktk kata nzima shule moja au mbili tu zimefaulisha wanafunzi tena mmoja mmoja au wawili! Sasa tuambie kama zinazobaki kama hakukuwa na waliokuwa wanashika namba moja darasani.
 
Ahaa std 7 2likuwa 50 secondary tuilenda wav2 was5, msichana1 tu alifanikiwa kuhitim form4 wav wote tkaenda adv na kuendelea zaidi dahhhh was karibia wote sifahamu hata mmoja yuko wapi na maisha gani ila wav 7 wanapiga mzigo wa maana
 
Ahaa std 7 2likuwa 50 secondary tuilenda wav2 was5, msichana1 tu alifanikiwa kuhitim form4 wav wote tkaenda adv na kuendelea zaidi dahhhh was karibia wote sifahamu hata mmoja yuko wapi na maisha gani ila wav 7 wanapiga mzigo wa maana

Wow,Mungu awajalie wa multiply kwenye kazi zao.
msiwasahau kuwasaidia mlio waacha ikitokea mkakutana nao.
 
Sikuchaguliwa darasa la saba kati ya kumi waliopata nafasi tulikuwa kama mia,ila ambao hatukuchaguliwa std 7 ndio tuliopata div one f4!btw wengi tuliomaliza std tumekutana college,tuna kumbukumbu yetu mwezi wa december wengi wetu tunamshukuru kimaisha!

Dah,kila mtu anayo sababu ya kumshukuru muumba wake kumbe.
Ina furahisha sana pale unapotoka kwenye zero to hero
 
hii thread imenikuna mno! ni juzi tu nilipopata namba ya rafiki yangu mpendwa niliyekuwa naye kwenye utoto wangu wote. niliongea naye na mpaka sasa yuko kijijini na aliniambia maisha ni magumu sana maana anachofanya yeye na vijana wengi tuliomaliza wote darasa la saba ni kukata kuni na kuuza sokoni tena wanabeba kwa baiskeli...life is terribly difficult out there. tulimaliza kama watu sabini, watatu tukaenda sekondari, hao wenzangu wawili kwa sasa ni walimu na mimi ndio nafanya angalau vijikazi vya white color!
 
Well sisi tulianza darasa la kwanza tukiwa 75 ila tuliomaliza nadhani tulikua around 60...wengi walirudia darasa la nne .
Zaidi ya 15 tulifaulu...waliobaki nna uhakika kuna baadhi walifanikiwa kuendelea kwenye shule za private...wengine wakarudia darasa la saba na wengine well i don‘t know waliamua kufanya nini.
Kwasababu ya kuhama nimewapoteza wengi wa waliokua marafiki zangu.Ila mwaka 07 nilifanikiwa kuwaona baadhi bado wakipiga kitabu nikafurahi kweli. Sasa hivi kuna wawili najua wako chuo...mmoja Dodoma na mwingine UDSM ila hatuna mawasiliano.... nikipata nafasi ntawatafuta.

Good memories...
 
Those days,they knew me as Hitler,if you defined people according to
their avatars,but my user name was "Speaker",.....am still speaking though
.....am much comfortable with the new name.
It's healthy to be the really you.


aaaiseee!! Kweli Umechange.... The only similarity ni Avatars ambazo hazipo still....lol
 
baada ya form four karibu wote wako kijijini wanne tu waliendelea na shule, na mie ndio neema imefunguka kwa sasa nipo chuo, ...naomba Mungu anipe moyo wa ujasiri nisome nifaulu... ukifikiria ni ngumu kuamini, maisha magumu sana ndugu yangu
Dinnah kumbe bado uko chuo? Soma dada, angalia usije ukawa addicted na JF nawe ukaishia mwaka wa pili.........

Haya log out, kashike kitabu..........:A S crown-1:
 
Well,

Nakumbuka darasa letu tulikuwa kama 30, tukafaulu wawili, kwenda Govt schools, mi na msichana mmoja tukikaa naye dawati moja. yeye Aliishia form four, hakubahatika kuendelea tena.

Advanced level, nakumbuka darasa letu karibia WOTE walienda chuo kikuu, na wengi wao wana kazi zao za maana, wengine wameshafanya Masters, wengine PhD

Nikirudi kwa wale wa darasa la saba, its so sad kwa wale waliobaki kijijini...maisha yamekuwa magumu sana sana...kuna ambao sijawahi kuwaona tangu tumemaliza, I wish I could see them.
Kuna wengine of course, darasa la saba ila walijaa ujasiriamali, na sasa hivi wako na maisha na pesa nzuri tu (sina uhakika kama wana furaha pia, you know what I mean)

All in all....hizi memories hizi, hivi wanaofaulu kwa mafungu siku hizi nz wenyewe wanajisikia kama siye enzi hizo? wakati tunasubiri matokeo so anxiously karibia na Christmas?
 
Well,

Nakumbuka darasa letu tulikuwa kama 30, tukafaulu wawili, kwenda Govt schools, mi na msichana mmoja tukikaa naye dawati moja. yeye Aliishia form four, hakubahatika kuendelea tena.

Advanced level, nakumbuka darasa letu karibia WOTE walienda chuo kikuu, na wengi wao wana kazi zao za maana, wengine wameshafanya Masters, wengine PhD

Nikirudi kwa wale wa darasa la saba, its so sad kwa wale waliobaki kijijini...maisha yamekuwa magumu sana sana...kuna ambao sijawahi kuwaona tangu tumemaliza, I wish I could see them.
Kuna wengine of course, darasa la saba ila walijaa ujasiriamali, na sasa hivi wako na maisha na pesa nzuri tu (sina uhakika kama wana furaha pia, you know what I mean)

All in all....hizi memories hizi, hivi wanaofaulu kwa mafungu siku hizi nz wenyewe wanajisikia kama siye enzi hizo? wakati tunasubiri matokeo so anxiously karibia na Christmas?


Unaposonga katika maisha unagundua kua siku na miaka inavoenda ndo jinsi ambavo wale ulokua nao wanazidi kubaki nyuma&#8230;. So sad... Kuna watu wengine you so wish you could see them hata kama once! Katika group zoote za school levels hua wananiuma saaana nilosoma nao Primary level &#8211; I am in contact na watu watano tu thou wapo mbali pia&#8230;.

Lov' hapo kwenye Red&#8230;Wakufaulu kwa mafungu (as per your say) waweza sikia the same (I hope aje mmoja hapa aseme) but naamini ni tofauti kabisa na yule ambae kaishi na hao watu for more than five years&#8230; It is sad, kuna bitter sweet memories hu stick forever kichwani, yet still hutegemei hata siku moja kuja waona walo play the big part katika baadhi ya mambo katika maisha yako&#8230;
 
Tuliomaliza darasa la saba tulikuwa 24, tulifaulu 6....... Tuliofaulu ni mmoja tu aliyeishia kidato cha sita ambaye alijiunga na JWTZ na kufikia cheo cha Luteni kabla hajatimuliwa baada ya kumletea fujo Mkuu wa Wilaya!.....Hali yake kwa sasa inasikitisha...... Kwa wale ambao hawakufaulu wanne walijiunga na shule za private, mmoja akijiunga na seminari ambapo mwaka mmoja kabla ya kuwa padre sijui kilitokea nini, hakuupata akaishia ushemasi..... Hawa nao hali zao ni njema mpaka leo

Wale wengine ambao hawakuendelea na masomo...............dah! Mungu na azidi kuwasaidia manake hali yao ni hoi taabani.

Na Mmoja ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu enzi hizo tukicheza mpira wa chandimu: Roho ya Marehemu apate Rehema kwa Mungu, aendelee kupumzika kwa amani: AMEN!
 
Back
Top Bottom