Nimewamiss!!!!!!!!!!!!!!


Hebu waambie my dear
 
Last edited by a moderator:
Duh kwa kweli wake zako wana mioyo @MrRocky.Usije nifanyia hivi mume wangu Rogie maana huu wivu nilionao naweza kujinyonga

Mimi ndo mwenye nyumba upo hapo wivu kawaida tu mbona wewe?
 
Last edited by a moderator:

Wewewewe??? Eti umesemaje??? Nani huyo?? Siwezi mwacha mume wangu kamwe
 
Last edited by a moderator:
Duh!kwa hiyo wanajijua kuwa wanashere bwana? @MrRocky.Pole sana bi mdogo kwa madaha yote kumbe umevamia ndoa ya watu missChagga.

Ha ha ha mpe pole akusikie lakn hana wivu analijua hilo na nimemsamehe
 
Last edited by a moderator:

Nimeshituka kweli nikasema he umeniuza ama??? Washindwe na walegee
 
Last edited by a moderator:

Mchepuko wako haurudiwi tena Bi Kubwa ndani ya nyumba uchepuke ili??
 
Last edited by a moderator:
dena yuko huru.
na ni vyema ukamwachia nafasi.
kama na yeye ataamua kufanya mchepuko its okay.
Ila what goes around comes around...

Aliokwambia niko huru nani? Na nimeachana na mume wangu nani?? Weeee acha kabisa
 

Hebu waambie ndoa tangu lini zikawa mbili??
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena nyumbani mamii. Hebu niambie.Huko Dareda bei ya mahindi gunia moja ni kiasi gani?
Nataka kuja kuhemea huko.

Aisee bei bado iko chini wahi mapema kabisa 30000@gunia
 

ndumba at work
 
Last edited by a moderator:

Mahindi utapata na karanga pia njugu ila hayo ya kukabidhiwa nooooo still love my huby
 
Last edited by a moderator:
Safi sana Dena Amsi una mapenzi ya ku share hadi shetani anakuogopa hivi kweli unampenda Mr Rocky? Mbona wanakutafunia na miss chagga huna Wivu?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…