Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,657
- 8,589
Nilikua namwandiko mzuri hadi nikawa naambiwa niwaandikie notes wanafunzi wengine ubaoni
unaonekana tu
Nilikua namwandiko mzuri hadi nikawa naambiwa niwaandikie notes wanafunzi wengine ubaoni
Habar yako mkuu.... Hiyo avatar yako hahahahaaaaa.nimmewahi pata 92 kiswahili std 5.
Kwa avatar hiyo Mmmh utakuwa uligegedwa!Nilimegwa au niliwamega??
Dozi ya aina gani?![]()
![]()
Unakumbuka nini mwana JF???
Mimi nimewahi kutoa dozi kwa vijana 6 hadi nikapelekwa kupimwa akili...!!!
Msalimie ZANU PF..![]()
Jinsia yangu hiyo hapo mkuu[emoji115]
Kama ilivyo vijana wengi hulewa sifa na kuharibika ndivyo ilivyokuwa kwangu, nimeishia chuo na hivi sasa nna kazi yangu nzuri na familia yanguUliishia la 6 eeeeh??
Huko mbeleni namba yako ilikuwa ipi?
Sio sehemu yake avatar kama hii nivizuri ukaitoa, tushakujua juwa wewe ni mwanajeshi, mbona name tag huoneshi, na service branch umebandua![]()
Jinsia yangu hiyo hapo mkuu[emoji115]
Safi sana mkuuKama ilivyo vijana wengi hulewa sifa na kuharibika ndivyo ilivyokuwa kwangu, nimeishia chuo na hivi sasa nna kazi yangu nzuri na familia yangu
Unachokiwaza ni tofauti na ulichokiandika hapo, emb andika unachokifikiria usirukie mbeleSio sehemu yake avatar kama hii nivizuri ukaitoa, tushakujua juwa wewe ni mwanajeshi, mbona name tag huoneshi, na service branch umebandua
Mimi nilikuwa mtata kwenye imla, japokuwa nilikuwa sing'ai darasani, ila kwenye imla nilikuwa nawapita hata wakali wa top ten wa shule.Wakati huo baada ya kusoma hadithi mwalimu alikua anaacha zoezi la kufanya linaitwa MIUNDO.Nani analikumbuka?
Sayansi shule ya msingi miaka hiyo alikuwa adui yangu, nilikuwa nacheza na 5/50. Darasa la saba ndiyo kabsaaaa, 8/50.
Mimi masomo yote hayo nilikuwa hovyo, english nilikuwa sitaki hata kuisikia, hisabati ndiyo kabisa, nakumbuka mock darasa la saba hisabati nilipata 6/50, wenzangu walinicheka saanaaa, nilivyoingia kidato cha kwanza nikaanza kujibidiisha kwenye hisabati tu, nakumbuka maksi yangu ya juu sana kwenye hisabati kuipata ilikuwa form 3, nilipata 78%, nilimpita mpaka aliyeongoza maths shule nzima form 2 necta, baada ya kumpita huyo nikaona kumbe ninaweza, form 4 necta nikatoka na B ya namba. Nikawapita mpaka waliokuwa wananicheka primary. Mpaka sasa huniambii kitu kwenye namba japo primary nilikuwa napata (5-10)/50.Duh kipind hicho niko hot ktk hisabati na english mbayaaaa
Wewe uliulizwa Jinsia yako, ungetaja kwani ungedhurika mpaka uweke picha ya Cbt?Unachokiwaza ni tofauti na ulichokiandika hapo, emb andika unachokifikiria usirukie mbele
IshughulikieWewe uliulizwa Jinsia yako, ungetaja kwani ungedhurika mpaka uweke picha ya Cbt?