Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

Watu wengine bwana!Sasa unataka ushauri wa nini wakati jambo liko wazi kuwa unalea kitu ambacho si chako?Huwezi kuvurugwa wakati una uwezo wa kufanya maamuzi na kujua ukweli wa mambo kama mtoto ni wako au si wako.
Du!wanawake wanajua kucheza na akili zetu yaani nile mzigo halafu baada ya wiki mbili uanze niambia eti unahsi kitu kimeingia????Ha ha ha ha haiwezekani mkuu pale ulitakiwa ujue kuwa unadanganywa tena kitoto sana.
Ushauri wangu ni kuwa kitanda hakizai haramu,we lea tu huyo mtoto hwezi jua siku moja atakuja kuwa nani kwako na kwa jamii cha msingi yafaa ulee ukijua ukweli wa mambo maana kama umechomekewa mtoto basi ndio baraka yako hiyo na usitoe nafasi kwa wengine kuvuruga ndoa yako maana uliapa kuishi nae kwa kila hali sasa huu ndio wakati wa kile kiapo chako umefika hivyo vumilia tu maisha yaende.
 
Yaani jambo dooogo mnashindwa kutumia akili.
Mmekuwaje wanaume na nyie mnaongozwa na hisia???
Yeye ahesabu tarehe za hatari za mkewe huo mwezi wa sita zilikua kabla ya kuondoka au baada atakalopata ndiyo jibu kamili

Haya wewe mwenye akili tuambie mimba ya mume au sio? Watu wengine bwana, wanajifanya wana akili dunia nzima.
 
ndugu zangu wa jf. salaam aleikum. ni mara yangu ya kwanza kujitokeza humu ndan kwa kutoa yaliyonisibu. naomba mnishauri wana jf. nimeoa na nimebahatika kupata mtoto mmoja.
mke wangu ni mzur na nimeish nae kwa aman. nimekuwa msaada kwa familia yake. nimewasaidia sana ndugu zake kwa kuwapa mitaji na wengine kuwasomesha mpaka elimu ya chuo.
tatizo lilianza mwaka jana mwez wa nane. mke wangu alisafiri kuanzia mwez wa sita mwishon na kurejea mwezi wa nane mwanzon. alipofika tulifanya mapenz kama ilivo ada kwa wanandoa. baada ya wiki mbili aliniambia kuwa anahis ana mimba. nikafurah as nilikuwa nahitaji mtoto wa pili.
hivyo nilimshauri aende akapime ili tuwe na uhakika tuanze kufanya maandalizi. baada ya kipimo kweli alionyesha ni mjamzito. nikafurahi na kuanza kufanya mipango ya kuweka akiba mahususi kwa ajili ya mambo ya ujauzito na hatimae mtoto.
baada ya miez mitatu nikamshaur aanze kuhudhuria clinic. akaanza na mambo yakaendelea vizur huku nikiendelea kulea mimba.
baada ya miezi kama sita hiv nikaamua kuchukua kad ya clinik ili nione maendeleo ya mke wangu na pia nijue kama kuna taarifa zozote hatarish kwa vile nilikuwa cjaiangalia tangu aanze clinic.
nilichokiona uko ndicho kilichonichanganya. kimenivuruga mpaka cjui nichukue uamuz gan. nilikuta taarifa kuwa mke wangu ana mimba iliyotungwa mwez wa sita na anategemea kujifungua mwez wa tatu mwaka huu.. niimuita na kumuuliza. alinijibu kuwa labda ma ness wamekosea. nilimwambia kuwa lazima nijue. nenda kapige utra sound. majibu ya utra sound yalionyesha kuwa kwel atajifungua mwez wa tatu.
alipima tena sehemu nyingine na majibu yalionyesha hivo hivo. nilitaman kumuua lakin niliamua kujipa moyo as mi ni mwanaume wa ukwel. yeye pia alisisitiza kuwa vipimo vimekosea ye anaamin kuwa alipata mimba mwez wa nane na atajifungua mwez wa tano na c vinginevo. akasisitiza kuwa hajazin. nikaamua kusubiri. ila nikamuahid kuwa nikigundua kuwa mimba co yangu ndo mwisho wa ndoa yetu. nikafanya utafit na kuongea na baadhi ya madoctors wote wanasisitiza kuwa akijifungua ndo ntajua ukwel. lakin pia kuna issue ya 2 wiki plus or minus. najua vizur as mi ni msomi na ni mzazi.
sasa tayar alishajifungua na ni mwez ule ule wa tatu na doctor anadai alijifungua on time. hakuchelewa wala kuwah. which means alipata mimba mwez wa sita wakat hayupo na mm. so kuna uwezekano mtoto sio wangu. lakin yeye ana insist kuwa hajawah kuzin na mtoto ni wangu. amesema hivo mbele ya mchungaji. sasa nimebaki njia panda. nimkubali kuwa mtoto wangu au niende nikapime dna. au nimfukuze. nivunje hii ndoa. nimechanganyikiwa. sijui la kufanya. yaan mpaka kazi zangu zote zinaharibika. nimevurugwa jaman naomben ushaur. nifanyeje.

nadhani wewe umepanic tu!! here is why;
1. mwezi wa sita mwishoni mpaka mwezi wa nane mwanzoni ni roughly mwezi mmoja ama wiki 5-6,, sio miezi 2.
2. hukukutana nae kimwili mwezi wa sita kabla hajaondoka?
3. mzunguko wake wa hedhi na tarehe specific ya hedhi ya mwisho?
4. na unaposema "alipata mimba mwezi wa 6 wakati hayuko na mimi" unamaanisha nini? huyo si aliondoka wa 6 mwishoni? au hamduu?

usipanic ukafanyaaamuzi yasiyofaa, mimi naamini huyo mtoto anakuhusu
 
Haya wewe mwenye akili tuambie mimba ya mume au sio? Watu wengine bwana, wanajifanya wana akili dunia nzima.

Soma mistari ya mwisho utapata jibu! Akili unazo unashindwa kuzitumia.
 
all in all kama damu si yako si yako tuu siku moja mbeleni utajua naamnisha nn bro
 
Iv ndoa za zamani hazikua na changamoto kama iz au labda hakukua na platform yaku-share kama sasa,,Ireally hate when i hear wanandoa sio waaminifu na inaninyima amani kabisa na hamu yakua na familia inazidi kupotea kila kukicha.

Mkuu kwanza pole kwa maswahiba ila naamin Mungu atakuongoza ulimalize ili jambo kwa busara ila ili kua na hakika ni vyema ukapime DNA il ujue mbivu na mbichi ingawa inaonekana kabisa kua wife kachepuka
 
We kitasa unasoma huelewi au unajifanyisha mbona kasema hiyo miezi hakuwepo home mkewake badala yake alisafiri.
Unamuita mwenzio Kitasa sasa wewe sijui uitweje. Mke kasafiri June Mwishoni.

Huyo unaemuita Kitasa kauliza khs May na June kabla mke hajaondoka.
 
Soma mistari ya mwisho utapata jibu! Akili unazo unashindwa kuzitumia.

Sasa wewe mwenye akili unashindwaje kuelewa swali rahisi hivi? Au ndo akili za nzi? Ulichokiandika sio jibu bali umetoa scenario.
 
Jamani, Why always women, women , women . I just Dont get it . Uuuhhghh . Pole sana kwa yaliyokusibu . Just take DNA Test thats it . But also try to use wisdom on your final decision . Remember Jesus can forgive so many times why cant you? But also when you forgive it does not mean you forget right away for what your wife did ( if its true she cheated ) It takes a process to heal . My dear pole kwa unayopitia . Mungu akutie nguvu . Thanks ..

Nimejikuta napenda ushauri wako!!
 
Ndo hivyoo....sema wanaume hawabebi mimba wakazaa tofauti na hapo wangekuwa hawajui mama wa kila mtoto

Nimependa wewe....! Ila sasa you don't need to fight the nature otherwise u 'll be the victim of that...! Women with big brain hawafanyi hizi mambo.
 
Kaka hapo dna ndo suluhisho ya amani yako na ndoa yako. Ila hawa wanawake wa siku hz sio watu japo si wote. Unaweza ukapga hat trick na usiondoke na mpira uwanjani.
 
mkuu pole, hebu jaribu kupiga mahesabu, down count siku aliyoondoka, / siku mliyoshiriki burudani kabla ya kusafiri.....hapo utagundua,,, . halafu alisafiri kwenda wapi 2 months!!!! mengine tunasababisha wenyewe, labda iwe ni shule....
 
Paragraph ya mwisho kulikuwa na ushauri nimeweka...

Wasi wasi nao wakat mwingne unasaidia( kwa wale walinzi na wanausalama huwa mara nyingi wanatanguliza wasiwasi kwa kila akionacho hakiko sawa) na je akiridhika akakaa kimya wakat mtoto sio wake?
 
ndugu zangu wa jf. salaam aleikum. ni mara yangu ya kwanza kujitokeza humu ndan kwa kutoa yaliyonisibu. naomba mnishauri wana jf. nimeoa na nimebahatika kupata mtoto mmoja.
mke wangu ni mzur na nimeish nae kwa aman. nimekuwa msaada kwa familia yake. nimewasaidia sana ndugu zake kwa kuwapa mitaji na wengine kuwasomesha mpaka elimu ya chuo.
tatizo lilianza mwaka jana mwez wa nane. mke wangu alisafiri kuanzia mwez wa sita mwishon na kurejea mwezi wa nane mwanzon. alipofika tulifanya mapenz kama ilivo ada kwa wanandoa. baada ya wiki mbili aliniambia kuwa anahis ana mimba. nikafurah as nilikuwa nahitaji mtoto wa pili.
hivyo nilimshauri aende akapime ili tuwe na uhakika tuanze kufanya maandalizi. baada ya kipimo kweli alionyesha ni mjamzito. nikafurahi na kuanza kufanya mipango ya kuweka akiba mahususi kwa ajili ya mambo ya ujauzito na hatimae mtoto.
baada ya miez mitatu nikamshaur aanze kuhudhuria clinic. akaanza na mambo yakaendelea vizur huku nikiendelea kulea mimba.
baada ya miezi kama sita hiv nikaamua kuchukua kad ya clinik ili nione maendeleo ya mke wangu na pia nijue kama kuna taarifa zozote hatarish kwa vile nilikuwa cjaiangalia tangu aanze clinic.
nilichokiona uko ndicho kilichonichanganya. kimenivuruga mpaka cjui nichukue uamuz gan. nilikuta taarifa kuwa mke wangu ana mimba iliyotungwa mwez wa sita na anategemea kujifungua mwez wa tatu mwaka huu.. niimuita na kumuuliza. alinijibu kuwa labda ma ness wamekosea. nilimwambia kuwa lazima nijue. nenda kapige utra sound. majibu ya utra sound yalionyesha kuwa kwel atajifungua mwez wa tatu.
alipima tena sehemu nyingine na majibu yalionyesha hivo hivo. nilitaman kumuua lakin niliamua kujipa moyo as mi ni mwanaume wa ukwel. yeye pia alisisitiza kuwa vipimo vimekosea ye anaamin kuwa alipata mimba mwez wa nane na atajifungua mwez wa tano na c vinginevo. akasisitiza kuwa hajazin. nikaamua kusubiri. ila nikamuahid kuwa nikigundua kuwa mimba co yangu ndo mwisho wa ndoa yetu. nikafanya utafit na kuongea na baadhi ya madoctors wote wanasisitiza kuwa akijifungua ndo ntajua ukwel. lakin pia kuna issue ya 2 wiki plus or minus. najua vizur as mi ni msomi na ni mzazi.
sasa tayar alishajifungua na ni mwez ule ule wa tatu na doctor anadai alijifungua on time. hakuchelewa wala kuwah. which means alipata mimba mwez wa sita wakat hayupo na mm. so kuna uwezekano mtoto sio wangu. lakin yeye ana insist kuwa hajawah kuzin na mtoto ni wangu. amesema hivo mbele ya mchungaji. sasa nimebaki njia panda. nimkubali kuwa mtoto wangu au niende nikapime dna. au nimfukuze. nivunje hii ndoa. nimechanganyikiwa. sijui la kufanya. yaan mpaka kazi zangu zote zinaharibika. nimevurugwa jaman naomben ushaur. nifanyeje.


Hakuna kitu kibaya kama kuishi na mpenzi ambaye hamuaminiani mie nnakushauri nenda kapime DNA ili ukweli ujulikane ili uweze kufanya maamuzi sahihi maana kwa maelezo yako inaweza kuwa mtoto ni wako au c wako pia
 
Back
Top Bottom