Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

iv mwanamke akiwa na mimba c hedhi inakoma

sasa nyie mnaolazimisha kuwa mimba ilikuwepo toka mwezi wa 6 mnaelewa somo kwel la biology

mkewe kashasema kuwa mimba ya mwezi wa 8,sasa nyie mnaosema kuwa alikuwa nayo mnaitoa wap

mwanamke akipata mimba ndan ya mwez tu anajijua kuwa ana mimba pale mzunguko wako hakiukosa

Umewahi kubeba mimba?
unaongelea theory za vitabuni watu tunaongelea mazingira HALISI na uzoefu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
 
Last edited by a moderator:
Ndugu hapo ulishaibiwa! Ila Ushauri wangu jipime level ya hasira zako , je zinaweza kuishi na kiumbe haramu? I mean nje ya ndoa?? Kama ni shida anza taratibu za kumsahau huyu mamsapu mzinifu! Kwani kuna historia watu wengine wanavinyonga vitoto na inakuwa kesi ya mauaji na kujutia maisha yako yote! Ombea mungu aepushe mbali
 
Fanya zoezi moja nunua panga kila siku asubuhi ukiamka unalinoa alafu uniliweka somewhere unalifungia hazipiti siku 3 utarudi home hutamkuta nakwambia.

Acha kumfundisha mkwara mwenzio wewe....

Dah ila nimecheka sana.
 
Inawezekana hata mtoto wa kwanza siyo wako. Na may be hauna uwezo wa kuzaa. Mke wako aliamua kufanya utundu ili angalau mpate watoto. Nashauri kwanza kapime kama una uwezo wa kuzalisha kabla hujaendelea. Ukikuta huna uwezo wa kuzalisha tulia kimya lea watoto wako na usihoji milele
 
N2015 kwa mujibu wa maelezo yako ni kwamba mke alipata ujauzito kabla ya safari.
Kliniki wanapofungua kadi wanamhoji ni lini mara ya mwisho alianza kuona damu ya mwezi, na hii ndo hutumika kukadiria tarehe ya kujifungua (EDD). Hakika mimba ilitungwa Juni.
Sasa hapa wasiwasi ubaki kwamba huo mwezi Juni alipata ujauzito toka kwa nani.....kama ulikutana nae kipindi hicho basi uwezekano wa mtoto kuwa wako ni mkubwa.
 
Last edited by a moderator:
Cha ajabu kipi hapo? Inawezekana aliondoka na ujauzito usiku ule mlioagana.
Ni vile tu hakuona dalili mapema.
Nina hakika DNA itaonesha mtoto ni wako.

inawezekana akamla cha muagano kitu nyavuni
 
Hebu ngoja kwanza mkuu yaani wewe umesema ni msomi na mzazi mbona unalalamika kiasi hiki? Ina maana wewe kumkamata mwizi wa kuku wako mchuzi sio ushahidi mpaka ukamate nyama yake!
Stop crying bana wewe dume piga chini huyo mbona wanawake bomba ni wengi kama mchanga cku hizi.
Utalea mpaka lini wakati its so clear umechapiwa.
 
Hii hadith ni ya kutunga,kama tangu mwez wa 6 alikua na mimba lazma angeishajijua kua ni mjamzito mana cku zake asngeziona,na pia alvorudi hyo mwez wa 8 ujauzito wa miez miwili ni mkubwa tu,we mwenyewe ungeishajua kua mkeo ana mimba.wacha kuchora watu hapa.
 
Acha kumfundisha mkwara mwenzio wewe....

Dah ila nimecheka sana.

Hawa viumbe wajinga sana! Mimi babu yangu alikuwa na design hii ya life..! Sasa yeye alikuwa chiboko badala ya kutumia panga halisi yeye alikuwa na mti umechongwa mfano wa SIME YA KIMASAI alikuwa na wake wanne walikuwa wakimzingua akitoa ile mti yake wote wanalala nje watarudi kesho kuomba msamaha.
 
Kitanda hakizaid haramu wewe kamanda vipi? Tulia na leo mtoto wako huyo hata kama shahawa si yako ila mzazi ni wewe. Kuachana nae siyo suluhisho kwani unaweza pata kicheche zaidi ya huyo. Na kuapa kwa mchungaji ni sanaa tu ya wife haimaanishi ukweli.
Ukitaka mchezo wa kisaikolojia ili akutamkie ukweli na sio usanii aliosema mbele za mchungaji niPM.
 
Punguza hasira, na hasira hazisaidii kwenye mambo kama haya! Seems unampenda sana mkeo na unamuamini ndo maana mpaka ss hujachukua hatua zozote zile, ningekushaur umrudishe kwao lakini huko nako ndo hakuaminiki zaidi!

So, cha kufanya kwanza kubali kuwa mtoto si wako (hii itakusaidia zaidi mbelen) then jipe muda wa kama 2month halafu baada ya hapo kampime DNA huyo mtoto, kwa sbb ulishakubali kuwa mtoto si wako itakuwa rahisi kuyapokea majibu na kama kweli si wako utaachana nae kwa amani au utatafuta utaratibu mzuri wa kuishi nae, ila ukigundua mtoto ni wako utampokea vzr zaidi na mapenz yenu yataongezeka zaidi!

athari za kupima DNA mapema ni mosi kwako binafsi hutaweza fanya kazi wala kuzalisha chochote muda huu ukisubiri majibu na pili majibu yakitoka postive yatachochea zaidi ugomvi ndan ya ndoa yenu na kukufanya uwe mtumwa wa mapenz yenu daima,
 
Mpe sharti moja yeye abaki katoto usikaone pale....! Atajiondoa mwenyewe.

Hiyo haina haja dawa ni kumtimua tu kwsbb anaweza akakubali hlf akampeleka mtoto kwa mama yake(bibi wa mtoto) hlf akaendelea kudunguana na huyo jamaa yake siku mojamoja
 
Back
Top Bottom