Nimevunja ukimya lakini hola!

inawezekana hana hisia za mapenzi kwako. Au ana mtu wake tayari kashindwa kukwambia. Kwa ufupi hampo kwenye mstari mmoja. Tafuta ustaarabu mwengine
 
Mrembo ! Kata pua uunge wajihi ! Hivi wajua Jongoo pamoja na wingi wa miguu yake lakini HAONI ! Na huyo Mwalimu pamoja na upole na ukarimu wake nawe kumuonesha umuonyeshayo lakini hana tofauti na Jongoo! Kama mtu demand yako ya maziwa ni 5 kwa siku, na unaweza kuya'afford kuyanunua haina faida ya kufuga Ng'ombe! Disturbus ni nyingi ujenge zizi, ukakate majani, ukamnyweshe maji, usafi wa zizi , maana yangu kuna membar keshakuomba um'PM akuondolee tatizo.
 
NOTE: Cjaahi kukutana naye kimapenzi. Sasas nimechoka cos naona naumiza roho yangu bure, nimeamua kuacha kuwasiliana naye mara kwa mara. Sasa hivi nina kama cku 5 cjawasiliana naye na yeye pia kakaa kimya.. Nimeamua uamuzi huo lakini naona nauma pia. Je wanajamvi niendelee kumsumbua, ama nitumie njia gani. Plz........ :shock:
1. Kama hujawahi shukuru na usijaribu
2. Siku 5 ni kidogo lakini endelea kuuchuna na ikiwezekana usimpigie tena kabisa.
Na akipiga usimwoneshe tena kuwa unampenda. Kwa ufupi, huyo si wako.

3. Bora kuumia na kuuguza sasa kuliko kujakutibu hapo baadae
4. Sidhani kama unamsumbua kwani yeye haoneshi kusumbuka.
 
Naongelea purchasing power. Ukijiingiza kwenye mapenzi ya biashara, the one who pays gets the last say! Kama hajalipia hiyo vekesheni na hana mood ya vekesheni na wewe uko busy unawinda vocha,what do u expect? U dance to his tunes!
Una maana gani!
Kwamba msichana hana maslahi yoyote katika vekesheni ya B'Moyo?
Au wakiamua kufanya penzi huko maporini, mwanaume anakuwa kwenye position ya command, hivyo anafaidi zaidi?
Msaada!
 
Both the customers and producers determines the equilibrium point of demand and supply.
No wonder hua hawatulii.Mapenzi yamewajaa mifukoni mpaka yanalemea inabidi watafute sehemu nyingine za kupunguzia.
 
Tatizo lako unakosa ujasiri, ameonesha kutokukupenda kabisa.......chapa lapa dada'ngu lasivyo unajiibia wewe mwenyewe fikra zako!!!
 
Hilo nalo neno PJ.
Mrembo, huyo jamaa ungekubali tu hali. Manake huko mbeleni atakuja kukutesa manake wewe sio chaguo lake. Dawa chungu pia inaponyesha. Get a life, keep busy na tafuta hobby mpya. Asikufungie baraka za mbinguni!


[
 
Last edited by a moderator:
Una uhakika kuwa hana mke wa watoto nyumbani?

Na kipindi hiki cha sikukuu huenda anaogopa utamdai full-tank, wakati anajua watoto wanataka nguo mpya, na januari ndo kuna ile sikukuu kubwa sana ya kulipia ada za shule!

Wanaume wengi muda kama huu wamewakaukia wale wachumba wao 30, wanajikita kwenye mambo ya familia, maana hayana option!
Msubiri huenda baada ya hizi sikuku ataonekana!


Hana mke wa la mtoto wa kusingiziwa
 
Yaani mimi sijui nikoje! mwanamke ukinfuata fuata hivyo ndo mawazo yanapotea kabisa. Mwanamke anayenikataa mimi ndo nampenda


Hivi kaka mbona mnatunyanyasa sana tukitoa dukuduku zetu moyoni kwani sisi waawake hatuna haki ya kuonesha hisia zetu. Kwwenu ninyi mdada ukimfatilia sana akawa anakukataa ndo unataka huyo huyo mbona sisi tukifatia ndo wasema mawwazo yanapotea. Mie namtaka huyo huyo
 
Umshukuru sana huyo mwalimu wako. Mwanaume mwingine angeweza kukuchakachua halafu akakuachilia mbali. Huyo ni mstaarabu sana, maana ya yeye kuwa mzito ni kuwa ama ana familia au ana commitment nyingine na hapendi kuchanganya madawa.


Ni miaka minne (4) sasa tangu nimefahamiana na mkaka mmoja. Tulifahamiana wakati ninasoma course flani "c mnajua tena mambo ya kujiendeleza ukubwani" yeye alikuwa mwalimu wangu na ananizidi miaka minne (4). Wakati nasoma sikuwa na feelingsd naye kabisa cos nilumuheshimu kama mwalimu wangu pia nahisi na yeye alikuwa vivyo hivo. Basi sasa baada ya mimi kumaliza hiyo course nilihamia mkoani yeye akabaki Bongo hapo ndipo tulianza mawasiliano kwa muda mrefu na pia tukaanza kuoneshana feelings baina yetu ingawa yeye hakuwa wazi sana. Nilijikuwa nazidiwa ikabidi nimueleze juu ya hisia zangu ila kwa kweli alisita sana na kuwa na wasiwasi "oh yan mimi masikini sina kitu, nitapendwaje ma mtoto mrembo kama wewe" na vitu kama hivo yan hakuwa na uhakika kama ninampenda kiasi hiko.

Kiukwei mimi ninampenda saaaaaaaaana toka moyoni natamani hata angenitamkia kuwa njoo hata sasa hivi tulisukume gurudumu la maisha nisingesita cos ni mtulivu, mpole asiye na makuu. Nimekuwa nikipigia mara kwa mara kuliko yye anavonipigia, ninamtext sms nzrui za kimapenzi ila yeye anakuwa mzito sana. Hata zawadi nimekuwa nikimtumia wakati mwingine lakini yeye hola. hata vocha jamani. Ila kuoana kwetu ni mara moja au mbili kwa mwaka.

NOTE: Cjaahi kukutana naye kimapenzi. Sasas nimechoka cos naona naumiza roho yangu bure, nimeamua kuacha kuwasiliana naye mara kwa mara. Sasa hivi nina kama cku 5 cjawasiliana naye na yeye pia kakaa kimya.. Nimeamua uamuzi huo lakini naona nauma pia. Je wanajamvi niendelee kumsumbua, ama nitumie njia gani. Plz........ :shock:
 
Back
Top Bottom