Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,371
- 4,564
Hapa siwezi kumlaumu mwanamke, bali nakulaumu wewe. Jamaa acha nikuite mjinga, tena wa grade ya juu. Hiko ndiyo ulichokuwa unataka kuona kinatokea, na si kwamba ulifanya bahati mbaya.
Ulishaambiwa ana mchumba toka mwanzo, amekuwekea ngumu na hadi amekutajia mchumba wake ni nani. Kama alifikia huku uliendelea kukomalia ili iweje? Kama si kumvurugia.
Sote tunajua mwanamke ana moyo wenye udhaifu, ukiendelea kumsumbua hulainika. Na ndiyo ulikifanya hiko, kusudi umpindue jamaa. Ila ukweli huyo binti hakupendi, hata huko kuja kwake. Inaonekana wazi wewe ndiyo king'ang'anizi, kakubali kishingo upande tu.
Usitegemee utakuja kuwa na furaha naye, wakati uliivunja furaha yake. Jiandae huyo aliyevunja uchumba, kuwa mchepuko wake kama ukimuoa. Ili ulipie ujinga wako
Ulishaambiwa ana mchumba toka mwanzo, amekuwekea ngumu na hadi amekutajia mchumba wake ni nani. Kama alifikia huku uliendelea kukomalia ili iweje? Kama si kumvurugia.
Sote tunajua mwanamke ana moyo wenye udhaifu, ukiendelea kumsumbua hulainika. Na ndiyo ulikifanya hiko, kusudi umpindue jamaa. Ila ukweli huyo binti hakupendi, hata huko kuja kwake. Inaonekana wazi wewe ndiyo king'ang'anizi, kakubali kishingo upande tu.
Usitegemee utakuja kuwa na furaha naye, wakati uliivunja furaha yake. Jiandae huyo aliyevunja uchumba, kuwa mchepuko wake kama ukimuoa. Ili ulipie ujinga wako
