Nimevunja uchumba wa watu

Nimevunja uchumba wa watu

Kikubwa chukulia suala la kawaida usilipe sana uzito kwakuwa upo tayari kuoana na huyo dada hapo ungemtia mimba kisha ameachwa na mchumba wake halafu hauna malengo ya kumuoa na humpendi hapo ilikuwa upate muda zaidi wa kufikiria.
 
Kikubwa chukulia suala la kawaida usilipe sana uzito kwakuwa upo tayari kuoana na huyo dada hapo ungemtia mimba kisha ameachwa na mchumba wake halafu hauna malengo ya kumuoa na humpendi hapo ilikuwa upate muda zaidi wa kufikiria.
Sawa mr. Nimekusoma vizuri mkuu.
 
Yaani unajipeleka kabisaa..!!! Nenda ukarogwe vizuri.... Issue Kama hizo wenzako huwa wana wasakizia wazee ndio waende.. Baada ya maongezi kufika muafaka ndio hufuatia wao.. Huwa wana kwenda baada ya muda fulani kupita
 
Sawa Mkuu nadhani watakaa ijumaa au Jmosi. Nitaleta taarifa

Wanaume wengine tuwe na utu kama bint amekuambia nina mtu na na mahari katoa haina haja ya kuwa kinganganizi maana! Hata ukija ukamuoa kama jamaa aliacha laana inabid ukatubu na uombe rohoo ya laana iondoke kwa bint huyo utakayemuuoa maana itawatesa sana! Inaonyesha waz kuwa ulijua hil jambo



Kwa maelez yako n kwamba bint alishakuambia na bint alishaonywa akasema hana mahusian nawe


Wanaume tuwe makin kubeba laaana za kujitakia
Ni jins huyo jamaa kapoteza muda na huyo bint had kumtolea mahari

Je huyo kijana hio aibu ataipeleka wap wakt chanzo ni ww

Nikuambie tu umempenda huyo bint ila kuna uwezwkano mkubwa wa ndoa yenu kuja kuvunjika au kubujikwa na ugomvi happ baadaye


Na ww ndo utakuwa chanzo cha ugomvii
Kwa sabab hutamuamin na jmii itakusukuma sana kuhusu hyo bint hivo utakosa naye furaha na utamcjoka mapema


Nikuambiee tu tofautisha akili na hisia inaonekana ww una hisia umeshindwa kuzikontrol

Ikiwezkqnq kuwa msuluhisi wa hayo mahusian koz hamfikiii naye mbal na ww hata kama utamuoa kuna uwezekana mkubwa familia ya bint isikupende maana wakakuona ww ndo chanzo cha aibu pale kwao
 
Wanaume wengine tuwe na utu kama bint amekuambia nina mtu na na mahari katoa haina haja ya kuwa kinganganizi maana! Hata ukija ukamuoa kama jamaa aliacha laana inabid ukatubu na uombe rohoo ya laana iondoke kwa bint huyo utakayemuuoa maana itawatesa sana! Inaonyesha waz kuwa ulijua hil jambo



Kwa maelez yako n kwamba bint alishakuambia na bint alishaonywa akasema hana mahusian nawe


Wanaume tuwe makin kubeba laaana za kujitakia
Ni jins huyo jamaa kapoteza muda na huyo bint had kumtolea mahari

Je huyo kijana hio aibu ataipeleka wap wakt chanzo ni ww

Nikuambie tu umempenda huyo bint ila kuna uwezwkano mkubwa wa ndoa yenu kuja kuvunjika au kubujikwa na ugomvi happ baadaye


Na ww ndo utakuwa chanzo cha ugomvii
Kwa sabab hutamuamin na jmii itakusukuma sana kuhusu hyo bint hivo utakosa naye furaha na utamcjoka mapema


Nikuambiee tu tofautisha akili na hisia inaonekana ww una hisia umeshindwa kuzikontrol

Ikiwezkqnq kuwa msuluhisi wa hayo mahusian koz hamfikiii naye mbal na ww hata kama utamuoa kuna uwezekana mkubwa familia ya bint isikupende maana wakakuona ww ndo chanzo cha aibu pale kwao
Kaka nimesikia unachosema ni kweli kabisa. Sina shaka na nasaha zako. Nakili kuwa nimekosea sana. God have mercy. Ngoja nisubiri Jmosi nione nini kitajili
 
Daah nilikua na mpango wa kumposa binti flani halafu nifunge nae ndoa baada ya yeye kumaliza elimu yake lakini nimeshabadili mawazo acha nitulie tu kwanza yasije kunikuta.
 
Kaka nimesikia unachosema ni kweli kabisa. Sina shaka na nasaha zako. Nakili kuwa nimekosea sana. God have mercy. Ngoja nisubiri Jmosi nione nini kitajili

Kubali ukatae familia haitakuwa na aman na ww hata ukimuoa ! Maana wazaZ watakuwa wanasema huyu ndo katutia aibu

Then usiende mwenyew kule maana lolote linawez kutokea hata kukudhuru

Tatu muombe jamaa mwenyew aliyetoa mahari msamaha tafuta namna yoyote umuombe msamahaa

Lakin pia nikuambiee tu uwezekano wa hyo bint kumpata mtu mwngine ni mdgo sana


Nikuambie tu ww hutaweza kumuoa kwa sabab ya negativity uliyonayo kweke na famlia yake

Kwanza utakuwa kila siku unajiuliza mm naonekanaje na jmaa so kaka ingilia kato uwe msuluhish
 
God have mercy
Mwanamme mzima unaenda kwa demu na anakupikia chakula!! kweli wanaume tumebaki wachache sana; jamaa na wewe wote sawa tu alafu unajisifu kua umearibu uchumba.

Swali ni kua umejiridhisha kua umeongea na mtu uliyemtaja? nyie ndo mnaokotwa barabarani mkiwa kwenye viroba.
 
Mwanamme mzima unaenda kwa demu na anakupikia chakula!! kweli wanaume tumebaki wachache sana; jamaa na wewe wote sawa tu alafu unajisifu kua umearibu uchumba.

Swali ni kua umejiridhisha kua umeongea na mtu uliyemtaja? nyie ndo mnaokotwa barabarani mkiwa kwenye viroba.

Kaka alishakosea so la msingi ni kumuomba msamahaa jamaa muhsika halaf amwambie kuwa ni hisia tu na hakujua kuwa kamtoleq mahari
 
Kaka alishakosea so la msingi ni kumuomba msamahaa jamaa muhsika halaf amwambie kuwa ni hisia tu na hakujua kuwa kamtoleq mahari
Eti anaenda kwao; sasa aende akutane na kamati iliyopokea mahari kama hawatamlazimisha kulipia mahari on the sport. Watu ambao hawajawahi kwenda ukwenu kuongelea mambo ya ndoa utawajua tu; anadhani mpaka mtu kufikia hatua ya kutoa kishika uchumba na baadae mahari alafu baadae jamii atamuonaje huyo binti huko kwao?
 
Inaonekana una jeuri kabisa Haki ya Mungu ingalikuwa mimi sasa hivi ungekuwa upo kwenye fridge la Mochwari au ushafukiwa NAKUCHAPA NGUMI NYINGI SANA KABLA SIJAKUCHAPA RISASI
Mkuu mbona roho ya mauti imekutawala sana
 
Back
Top Bottom