mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,040
What do you have? Maana uweke mezani ulichonacho umetaja umri wako tu..
Ha ha ha so unataka ataje account inasoma sh ngapi,Mshahara wake na ana miliki mali zipi?
What do you have? Maana uweke mezani ulichonacho umetaja umri wako tu..
My dear ulikuwa Kwa PM yangu au we ni Genie
Wewe Hamnazo
sasa frank vigezo mbona balaaa wng mhh maana kayumba hakuna ndoa haya chuooo pateni ajira hapa ila sije pata mwenye degree kesho ukarudi unatuambia bora mama wa nyumbani na darasa lasaba me ila umenifurahisha we unataka mchumba sio mke wa kuoa
Wewe unamfaa sana jamaa
Vigezo hapo juu ni opposite yangu so PM Kama unajiamini
Mke kuku PM nayo ni sifa,grow up Tuumbo,u think that sth special
Lol sikusomi mkuu,hapa mjini unamiliki Ni Ni? Na ac Yako inasomaje ?
Ha ha ha so unataka ataje account inasoma sh ngapi,Mshahara wake na ana miliki mali zipi?