Napata PM Za wadada wasumbufu tu naomba walio serious please...please take this as a milestone
Namna hiyo...maana vigezo vya mwanamke anaemhitaji ameviweka mezani,ingebidi na yeye aviweke sio mpaka PM. PM ni kwenda kukubaliana...nakujuana vya ziada.
Mura siyo watu,ntakuzaba kofi Miss nedy
Nina Mahala pa kulala I thank God,sipandi daladala pia nashukuru Mungu
Ps:sijisifu naomba nieleweke hapo
Account yangu inatosha kumuhudumia nitakae kuwa Naye na mbali na yote Mimi ni mkulima na Mjasiriamali wa KILIMO
Nafikiri inatosha
Mshauri dada yako Mwekundu
Ni muda muafaka sasa nipate mwenzangu,Kama wakaka hatuna maitaji hayo
Degree mwisho Kama huna degree tena ya social issues you D
Please msilete utani wenu Kwa PM ntawaanika HAPA JAMVINI
Mie nina hzo sifa lakn miaka 24 nakufaa??