Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Umevaa kanzu miguuni umevaa kandambili? je koti hukuvaa kama wenzako wanavyovaa?Kwa mara ya kwanza katika historia yangu, nimevaa vazi hili lenye asili ya Mashariki ya Kati. Moja fulani hivi nyeupe, pamoja na kofia yake yenye muundo wa nyavu nyavu. Nahisi nimependeza ile mbaya ingawa napata shida kidogo kufanya hatua ndefu ndefu nilizozizoea...
Natoa taarifa!