Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,957
- 10,054
Utayakumbuka maneno yanguHapana, ni dr slaa ama Lissu
Utayakumbuka maneno yanguHapana, ni dr slaa ama Lissu
Penye ukweli tuseme,Tanzania inapitika sasa kwa kiwango cha lami tena barabara kubwa mikoa mingi,ukicompare barabara ya mombasa Nairobi na Dar Mwanza au Arusha utajua uzuri barabara zetu,pia sirari hadi nai bado hulinganishi kabisa na barabara zetu.anapostahili pongezi tumpe sio kila kitu kuponda.na siku zote maendeleo ya kweli huletwa na sisi wenyewe.
Hayo ni mawazo yako tu japo ni pumba zote
Magufuli ni booonge la kiongozi. Kama hiyo kashfa ipo ataijibu tu ila mimi naamini haipo. Magufuli akiongea unajua kabisa kwamba yale maneno yanatoka ndani ya uvungu wa moyo wake. Huwa anapenda kutumia neno sincerly na kweli huwa anamaanisha anachokisema.
Kwa Magufuli tumelamba dume.
Mkuu,Magufuli ni booonge la kiongozi. Kama hiyo kashfa ipo ataijibu tu ila mimi naamini haipo. Magufuli akiongea unajua kabisa kwamba yale maneno yanatoka ndani ya uvungu wa moyo wake. Huwa anapenda kutumia neno sincerly na kweli huwa anamaanisha anachokisema.
Kwa Magufuli tumelamba dume.
Mkuu,
Siyo dume tu bali ni dume la tembo!
Tanzania ya sasa na kesho inahitaji Kiongozi mwenye haiba ya Magufuli
kwahiyo mkuu kuliko kuwa na barabara mbovu ni bora tu tuendelee kuwa na vichaka tufugie simba au sio?!! hahahaha wabongo hua hatuna shukran aisee doooh
Magufuli alishakuwa kiongozi bora sasa anaenda kuwa rais bora
Alitakiwa ajibu lini weka hapa tuone hiyo ipoje.magufuli kashindwa kujibu kashfa ya CAG ya bilion 263 sijui ndio alikuwa anajipanga uraHisi
Watanzania wengi hawana Mungu, hata kuona maigizo ya magufuli mnashindwa? Hakuna waziri anayependa kuwafanya wanaomsikiliza mazoba kama huyu jamaa. Hata bungeni akishasikia watu wanashangilia anabakia kwenye kitu hichohicho anakirudia rudia ili waendelee kunshangilia. Siku hizi ana maneno yake "nitakuwa mtumishi wenu". Jana au juzi akiwa chalinze alipoona watu wameshangilia basi aliyarudia yale maneno kama mara 3 au 4. kimsingi sioni kama anayosema yanatoka moyoni kwa sababu ya tabia hii ya kutaka watu wamshangilie na kuanza kurudia yaleyale akiwafanya wanaoshangilia kama wajinga. kama huamini fatilia speech zake zote hasa bungeni.Magufuli ni booonge la kiongozi. Kama hiyo kashfa ipo ataijibu tu ila mimi naamini haipo. Magufuli akiongea unajua kabisa kwamba yale maneno yanatoka ndani ya uvungu wa moyo wake. Huwa anapenda kutumia neno sincerly na kweli huwa anamaanisha anachokisema.
Kwa Magufuli tumelamba dume.
Kwa Dr.Slaa nakubaliana na wewe, jamaa ni mkweli na humanisha anachosema. Nadhani kutikana na malezi ya dini yake. Magufuli ni muigizaji mzuri, kama hunielewi anagalia speech zake, yeye anapenda kushangiliwa. akisema kitu mkashangilia atakirudia hichohicho hata mara 4. Alikuwa akiyashika kweli mabunge ya ccm, yanashangilia halafu kajamaa akanarudiarudi neno hilohilo au kanaendelea kutaja figures ambazo hamna mtu huwa ana verify kama ni kweli. Nina uhakika kwa asilimia kubwa figure nyingi huwa ni fix tu.Tuachane na itikadi za kivyama, tuachane na ushabiki wa kisiasa nikimuangalia john pombe magufuli anavyoongea kila mahali anapopitwa kutambulishwa naamini kabisa tanzania imempata mtu sahihi wa kuivusha katika kipindi hiki kigumu cha kiuchumi na kisiasa. Ukweli mimi huwa naamini zaidi katika personality kuliko uvyama katika wanasiasa wa upinzani kwa wote kwa ujumla nikiwaangalia namuona dkt. Slaa ni mtu mwenye dhamira ya kweli kabisa kabisa so is magufuli ujue hawa jamaa ni watu ambao wako sirius sana. Nimempenda zaidi magufuli pale anaposema nikiwa rais nitakuwa rais wa watanzania wote si upinzani si ccm na nitawatumikia kwa moyo wangu wote. Sijayapenda zaidi maneno, la hasha bali nimependa namna anavyoyaongea ukweli ni kuwa hata ukimuangalia unaona kabisa kuwa huyu mtu ni mstaarabu. Japo kuna watu wanamkosoa kwa vitu vidogo vidogo lakini naamini kabisa magufuli atashauriwa kwenye vitu vidogo na atakuwa bonge la rais. Bila kusahau amweke muhongo kwenye nishati na filikunjombe apewe tamisemi awakomeshe wakurugenzi wezi ili maendeleo yaonekane fasta
Tuachane na itikadi za kivyama, tuachane na ushabiki wa kisiasa nikimuangalia john pombe magufuli anavyoongea kila mahali anapopitwa kutambulishwa naamini kabisa tanzania imempata mtu sahihi wa kuivusha katika kipindi hiki kigumu cha kiuchumi na kisiasa. Ukweli mimi huwa naamini zaidi katika personality kuliko uvyama katika wanasiasa wa upinzani kwa wote kwa ujumla nikiwaangalia namuona dkt. Slaa ni mtu mwenye dhamira ya kweli kabisa kabisa so is magufuli ujue hawa jamaa ni watu ambao wako sirius sana. Nimempenda zaidi magufuli pale anaposema nikiwa rais nitakuwa rais wa watanzania wote si upinzani si ccm na nitawatumikia kwa moyo wangu wote. Sijayapenda zaidi maneno, la hasha bali nimependa namna anavyoyaongea ukweli ni kuwa hata ukimuangalia unaona kabisa kuwa huyu mtu ni mstaarabu. Japo kuna watu wanamkosoa kwa vitu vidogo vidogo lakini naamini kabisa magufuli atashauriwa kwenye vitu vidogo na atakuwa bonge la rais. Bila kusahau amweke muhongo kwenye nishati na filikunjombe apewe tamisemi awakomeshe wakurugenzi wezi ili maendeleo yaonekane fasta[/QUOT
Don`t be a foolish ..... umeona wapi timu mbovu inabadisha golikipa na kutegemea ushindi ?
Hakuna kitu kama hiko.
Kwa JK mlisema hivyohivyo.
Tuachane na itikadi za kivyama, tuachane na ushabiki wa kisiasa nikimuangalia john pombe magufuli anavyoongea kila mahali anapopitwa kutambulishwa naamini kabisa tanzania imempata mtu sahihi wa kuivusha katika kipindi hiki kigumu cha kiuchumi na kisiasa. Ukweli mimi huwa naamini zaidi katika personality kuliko uvyama katika wanasiasa wa upinzani kwa wote kwa ujumla nikiwaangalia namuona dkt. Slaa ni mtu mwenye dhamira ya kweli kabisa kabisa so is magufuli ujue hawa jamaa ni watu ambao wako sirius sana. Nimempenda zaidi magufuli pale anaposema nikiwa rais nitakuwa rais wa watanzania wote si upinzani si ccm na nitawatumikia kwa moyo wangu wote. Sijayapenda zaidi maneno, la hasha bali nimependa namna anavyoyaongea ukweli ni kuwa hata ukimuangalia unaona kabisa kuwa huyu mtu ni mstaarabu. Japo kuna watu wanamkosoa kwa vitu vidogo vidogo lakini naamini kabisa magufuli atashauriwa kwenye vitu vidogo na atakuwa bonge la rais. Bila kusahau amweke muhongo kwenye nishati na filikunjombe apewe tamisemi awakomeshe wakurugenzi wezi ili maendeleo yaonekane fasta
Mkuu usiangalie usanii wa mtu. Zile filamu za kiNaijeria wale wasanii wanaweza kuigiza kama wafalme wakubwa, wanaweza kuomboleza na kulia zaidi ya waliofiwa, wanaweza kuigiza kama majambazi na kadhalika. Usimwangalie mtu anavyoongea wala anavyoonekana ukapitisha kuwa tayari huyo ni raisi. Kikwete wakati wote amevaa cheating smile. Ukimchagua kwa tabasamu lake itakula kwako. Angalia sifa zingine za ndani zaidi ya hizo!!!!
Magufuli ni booonge la kiongozi. Kama hiyo kashfa ipo ataijibu tu ila mimi naamini haipo. Magufuli akiongea unajua kabisa kwamba yale maneno yanatoka ndani ya uvungu wa moyo wake. Huwa anapenda kutumia neno sincerly na kweli huwa anamaanisha anachokisema.
Kwa Magufuli tumelamba dume.