Nimeupenda ustaarabu wa John Pombe Magufuli

Nimeupenda ustaarabu wa John Pombe Magufuli

Ana ustarabu gani WAKUUZA NA KUGAWA NYUMBA ZA SERIKALI Na KUWAMBIAWAKAZI WAKIGAMBONI WAPIGE MBIZI KAMA HAWANASH. 200/=?
 
Alipouza nyumba za serikali alikuwa anasimamia serikali gani?
Barabara mbovu zimejengwa chini yake, huo usimamizi ni wa aina gani?

kwahiyo mkuu kuliko kuwa na barabara mbovu ni bora tu tuendelee kuwa na vichaka tufugie simba au sio?!! hahahaha wabongo hua hatuna shukran aisee doooh
 
Akuna jipya hapo kwanza nawashanga mnasema tumelamba Dume kivipi? Ni kipi atakachokifanya nje ya matakwa y ilani ya ccm?

Hebu wambie hao vilaza bana; mbumbumbu wa nchi hii wanampa mtu uraisi kwa tabasamu lake tu sijui huu ni utaahira wa aina gani na ni nani kailoga hii nchi hata isipate kupona katu. Waambie nyumba yoyote ikijengwa juu ya mchanga itaporomoka tu haijalishi ujuzi wa fundi anayeijenga
 
Mkuu ninamuda mrefu sijachangia hapa..Nilikua msomaji kwa muda..Naomba nikurekebishe..

Wamepita viongozi wenye kauli tamu kuliko hizo ..Na hakuna lililofanyika..hata JK alishatamka haya maneno..

CCM ni kama kikundi cha mashetani.. Ila jambo la kusikitisha tunadhani tunaweza kumpata Malaika kutoka kwenye hiki kikundi..
 
Magufuli ni kiongozi makini kamwe hii si kashifa...

kashifa = kashfa , wewe ni mwanaccm tunajua tabia za ccm zilivyo.soma signature yangu vizuri,halafu wewe ni mhaya wa wapi unakuwa ndondocha kiasi hiki?halafu ulikuwa wapi wakati wahaya wenye akili timamu huko kagera wamemfurusha mama tibaijuka kwa mara ingine
 
Mkuu ninamuda mrefu sijachangia hapa..Nilikua msomaji kwa muda..Naomba nikurekebishe..

Wamepita viongozi wenye kauli tamu kuliko hizo ..Na hakuna lililofanyika..hata JK alishatamka haya maneno..

CCM ni kama kikundi cha mashetani.. Ila jambo la kusikitisha tunadhani tunaweza kumpata Malaika kutoka kwenye hiki kikundi..

maneno kuntu kabisa
 
Tuachane na itikadi za kivyama, tuachane na ushabiki wa kisiasa nikimuangalia john pombe magufuli anavyoongea kila mahali anapopitwa kutambulishwa naamini kabisa tanzania imempata mtu sahihi wa kuivusha katika kipindi hiki kigumu cha kiuchumi na kisiasa. Ukweli mimi huwa naamini zaidi katika personality kuliko uvyama katika wanasiasa wa upinzani kwa wote kwa ujumla nikiwaangalia namuona dkt. Slaa ni mtu mwenye dhamira ya kweli kabisa kabisa so is magufuli ujue hawa jamaa ni watu ambao wako sirius sana. Nimempenda zaidi magufuli pale anaposema nikiwa rais nitakuwa rais wa watanzania wote si upinzani si ccm na nitawatumikia kwa moyo wangu wote. Sijayapenda zaidi maneno, la hasha bali nimependa namna anavyoyaongea ukweli ni kuwa hata ukimuangalia unaona kabisa kuwa huyu mtu ni mstaarabu. Japo kuna watu wanamkosoa kwa vitu vidogo vidogo lakini naamini kabisa magufuli atashauriwa kwenye vitu vidogo na atakuwa bonge la rais. Bila kusahau amweke muhongo kwenye nishati na filikunjombe apewe tamisemi awakomeshe wakurugenzi wezi ili maendeleo yaonekane fasta

Nakupa D, ufaulu usiorudhisha na Kosa lako ni kututeulia profesa Muongo kuliko lucifer kwenye cabinet ya Magufuli, Muongo hapana, akakae migodini huko aendelee na utafiti, his people management skills are pathetic to say the least! Muongo hapana!
 
Magufuli ni booonge la kiongozi. Kama hiyo kashfa ipo ataijibu tu ila mimi naamini haipo. Magufuli akiongea unajua kabisa kwamba yale maneno yanatoka ndani ya uvungu wa moyo wake. Huwa anapenda kutumia neno sincerly na kweli huwa anamaanisha anachokisema.

Kwa Magufuli tumelamba dume.

Aise kumbe mnalamba madume? Karambeni wenyewe aisee, Dr Slaa ndo Rais pekee atakayewatoa watanzania kwenye minyororo ya mafisadi
 
Penye ukweli tuseme,Tanzania inapitika sasa kwa kiwango cha lami tena barabara kubwa mikoa mingi,ukicompare barabara ya mombasa Nairobi na Dar Mwanza au Arusha utajua uzuri barabara zetu,pia sirari hadi nai bado hulinganishi kabisa na barabara zetu.anapostahili pongezi tumpe sio kila kitu kuponda.na siku zote maendeleo ya kweli huletwa na sisi wenyewe.
 
Aise kumbe mnalamba madume? Karambeni wenyewe aisee, Dr Slaa ndo Rais pekee atakayewatoa watanzania kwenye minyororo ya mafisadi

na mamvi mnamweka wapi? Dr slaa hadi 2030 bana sie cdm tumeamua kychukua gamba la CCM ili tuimalize ccm. Mbowe kauza chama kwa mamvi waliohangaika na kuvunjwa miguuu wanatoa macho kama fundi saa kweli cdm hiki chama nmhuuu kweli ni Sacco's
 
na mamvi mnamweka wapi? Dr slaa hadi 2030 bana sie cdm tumeamua kychukua gamba la CCM ili tuimalize ccm. Mbowe kauza chama kwa mamvi waliohangaika na kuvunjwa miguuu wanatoa macho kama fundi saa kweli cdm hiki chama nmhuuu kweli ni Sacco's

Ulijifunza lini kuimba taarabu?
 
Tuachane na itikadi za kivyama, tuachane na ushabiki wa kisiasa nikimuangalia john pombe magufuli anavyoongea kila mahali anapopitwa kutambulishwa naamini kabisa tanzania imempata mtu sahihi wa kuivusha katika kipindi hiki kigumu cha kiuchumi na kisiasa. Ukweli mimi huwa naamini zaidi katika personality kuliko uvyama katika wanasiasa wa upinzani kwa wote kwa ujumla nikiwaangalia namuona dkt. Slaa ni mtu mwenye dhamira ya kweli kabisa kabisa so is magufuli ujue hawa jamaa ni watu ambao wako sirius sana. Nimempenda zaidi magufuli pale anaposema nikiwa rais nitakuwa rais wa watanzania wote si upinzani si ccm na nitawatumikia kwa moyo wangu wote. Sijayapenda zaidi maneno, la hasha bali nimependa namna anavyoyaongea ukweli ni kuwa hata ukimuangalia unaona kabisa kuwa huyu mtu ni mstaarabu. Japo kuna watu wanamkosoa kwa vitu vidogo vidogo lakini naamini kabisa magufuli atashauriwa kwenye vitu vidogo na atakuwa bonge la rais. Bila kusahau amweke muhongo kwenye nishati na filikunjombe apewe tamisemi awakomeshe wakurugenzi wezi ili maendeleo yaonekane fasta

Hoja nyepesi sana hizo. Huwezi kumpima mtu kufaa kwenye nafasi kubwa kama ya Rais kwa kutumia vigezo hivyo unavyovisema. Kama wengi wetu tuna mawazo kama haya basi inaweza tosha kujieleza ni kwa nini nchi yetu ni masikini kiasi hiki licha ya utajiri mkubwa uliopo ndani ya milki yetu.
 
Back
Top Bottom