jipe moyo maisha ndio yalivyo na siwakwanza wewe bali wapo wengi tu waliopitia huko hata wanaokupa ushauri wengine tulisha somesha na kuachwa haijalishi ni mwanaume au mwanamke kikubwa kwenye mapenzi ni sehemu ya vurungu kama uko GAZA mlipuko kila sehemu.
Long time hapana tia veve machoni
Kiongozi napata mashaka na ulivyojali gafla..........
Huku KUJIVUA GAMBA ndo kunaresult MWANAUME MMOJA ANAWAUMIZA WANAWAKE HATA 20!!!!!!!!THE SAME WAY, SAME STYLE, SAME TIME!!!!!!!!!!!! BAD ENOUGH THEY ALWAYS GET AWAY WITH IT!!!!!!!
Nasema hiviiiiiiii!!!!!!!!!!! KOMESHA UFISADI KATIKA MAPENZI!!!!!!!!! Kukimbia tatizo sio kusolve!!!!!!!! FIGHT BACK FOR YOUR SELF, YOUR WOMANHOOD, YOUR SOCIETY!!!!!!!!!
Fisadi moja UKILIPA DOZI NENE linanyooka HUTOKAA USIKIE KAUMIZA MTU MWENGINE KAMWE!!!!!!!!! Bila hivo ni kucheza mdako!Kama huyo MAZAFANTA wa mleta mada 3 YERS OF MARRIAGE ATAMWAMBIA HUYO MWANAMKE MWENGINE BANAAAA EEH! TUSIZEESHANE!!!!!!!!! CHUKUA TIME ZAKO!!!!!!! (Yale yale!!!!! yanajiruida)
HELA/ BIASHARA NI TOFAUTI KABISAAAAAA NA MAPENZI!!!!!!!!!!!!!!! KABISA KABISAAAAA!!!!!!!! UTILITY YA KUPENDWA NI QUITE DIFFERENT NA SATISFACTION YA KUKAMATA VUMBA!!!!!!!! MIMI BIASHARA NAFANYA NA KAZI, N I NEVERRRRRR MIX THESE WITH MY RELATIONS!!!!!!!!!!! ILA SIWEZI KULETEWA USENGERY KWENYE MAPENZ ALAFU ETI NIMALIZIE HASIRA KWENYE BUSINESS!!!!!!!!!!!!!! NGUMU KUMEZA AISEEEEEEEEEEEE!!!! SWALA LA MSINGI HATA UKIWA NA DUNIA NZIMA HATOSHI KULIPIA YOUR BROKEN HEART NA UNFULLFILLED FEEELINGS NA NEEDS TOWARDS MPENZIO!!!!!!!!!! NDO MAANA NASISITIZA THERE IS NO SUBSTITUTION/COMPENSATON YA KUTENDWAAAAA!!!!!!!! (ITS ALL ABOUT BROKEN TRUST)
PEOPLE SHOUL PAY DEARLY FOR THE CRIMES THEY COMMIT!!!!!!!!!!!! PERIOD
pawa Sozia alitishia kujinyonga kwenye mazingaombwe akafa kweli
wanafunzi wanashangilia makeke na manjonjo kumbe mwenzao anakata roho
sasa ni mwaka karibu wa 15 amejitanguliza mbele ya haki.
Kifo hakijaribishiwi
Potea sana wewe
Internet za kudowea si unajua tena umesikia kuna safari ya Tanga? Twende zetu tunaanzia chuda
shetani tu huyo, jipe moyo utashinda!Mi ni msichana aged 25, nimeona nije hapa nimwage mauchungu yangu i believe t will help. Nimekuwa na boyfriend for almost three years nilimpenda mnooo naye alionekana kunipenda alinijali n.k yaani he was agud man tulienjoy nakupendana, siku kama nne hivi zilizopita nashangaa anakuja na kuniambia kuwa ana mchumba alikua naye b4 me na muda wa kuoana umefika, mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa hakuonyesha dalili za kuwa na mtu hakutaja na alikuwepo whenever I needed him, im hurt beyond... sijawahi jisikia hivi moyo unauma kuliko ambavyo nimewahi kutuma, I feel confused sijui cha kufanya sijui jinsi ya kureact. Ndo nikaona labda nijimwage hapa lbd itasaidi maana zimepita siku kama tatu nne sioni relief.
Lakini hii haito maanisha chochote kabisa maana ni watu wengi wanafanyiwa hivyo lakini hawa komi!
Me naona njia pekee ya kutatua hili tatizo ni kulinda penzi lako kwa nguvu zote na kuwa makini unapo anzisha uhusiano na mtu!
Kuchunguzana, kwa mfano huyo mtoa mada ana sema amekaa na huyo jamaa kwa miaka 3 bila kujau chochote kuhusu mchumba wake huyu, hapo ni wazi hakuwa ana mchunguza mtu wake na uchunguzi ni muhimu katika mahusiano!
Kwa haraka utagundua kuna kitu huyo mvulana hataki kumuweka wazi huyo binti na inawezekana hana mchumba!
Na kufight back hakuto punguza chochote na wala hakuto cover maumivu.
Kama malipizo yange kuwa ni funzo kwa jamii hasa kwenye mapenzi wala watu wasinge endelea kuumizwa kila leo!
Cha kumshauri ni kuwa makini na muangalifu kwenye mahusiano mengine.
Nimeisikia lkn sitakuwa nimerudi nchini
nimekupenda wote niliowaacha hakuna aliyefanya hivi duu ni PMSasa nakupa ushauri dume USIKUBALI KUWA MNYONGE NA KUYAMALIZA KIMYA KIMYA!!!!!!! THE BEST 3 YEARS OF YOUR LIFE AINT A JOKE!!!!!!!!! Yaani UMSAMEHE BURE!!!!!!!!!! I SAY BULLSHIT!!!!!!! Binti FIGHT BACK!!!!!!! Ukikaa kiunyonge UTAPATA PRESSURE NA KISUKARI UTUACHIE HUYO BWANA TUMCHUNE!!!!!!!!!!!!!! FUC* THE PEACE!!!!!!!! DECLARE WAR!!!!!!!! 1. Nenda kwao huyo kaka waeleze UFIRAUNI WAKE WOTE (DONT LET HIM GET AWAY WITH IT!!!! NOT A DIME OF IT! MAKE HIM PAY!) Haitokupunguzia maumivu ila itakupa nguvu ya KUJUA WATU WA KARIBU YAKE WAMEMJUA UNDANI WAKE!!!!!!! Mazafanta mkubwa huyo!!!!! 2. Mtafute bibi harusi umueleze jinsi huyo Mazafanta alivokuwa NANYI NYOTE KWA MPIGO FOR 3 YRS!!!!!! Dnt feel bad its the truth anyway!!!!! Akiamua kuendelea nae ILA UKWELI KAUJUA(You will be doing her a favour) 3. Tell all his friends WHAT TYPE OF GUY HE IS!!!! Ndio wamjue uzuri tabia yake chafuuu!!!!!!!! 4. Tafuta mtu wa ofisini kwao UMPE FULL STORY ( PEOPLE HAVE THE RIGHT TO KNOW!) Na umbea wa ofisini unavosambaaa WAKICHANGA WAJUE BWANA HARUSI Mazafanta ndio!!!! Vurugavuruga hali ya hewa ya harusi!!!!!!!
USIKUBALI KABISA MTU AJE MAISHANI MWAKO AJAMBIE JAMBIE MAISHA YAKO AFU AONDOKE WITHOUT PAYING FOR HIS CRIMES!!!!!!! HELL TO THE NO!!!!!!!!! Mimi X Wangu wote ZOEZI LA KUPAY FOR THEIR CRIMES NI CONTINUOUS!!!!!!!! Hawatokaa WASAHAU SIKU WALIOINGIA MAISHANI MWANGU!!!!!!!!! Mtu anakufanyia umafya afu anapiga "IM SO SORRY!" SORRY MY BIG FAT A**!!!!!!!!!
Ciello shost eti mama lwakatare kwikiwki na yale mavilembba makubwa lol,mimi kuachwa sijawahi ila kuacha niliacha na akaendelea kunifuata mpaka nimeolewa nikajua huyu ataingia anga zangu leo nikabeba cha moto,nikamwambia nyuma geuka chapa lapa!aliishia kutangaza yule mwabanke hatari anatembea na bastola,kumbe hubby alikuwa kasafiri nikapata upenyo ila that was the last hadhubutu hata kupiga simu.mtu uko nae kwenye mahusiano unakuja gundua ana 3kids wanawake tofauti then eti uendelkee kukaa hapo .tena unamwacha fasta unamwambia baaaaaaaaaas kama lara 1
hongera aisee!pole sana,mi nimeshasahau mwenzio