Nimeumizwa


Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa! NAONA UMETUMIA FAKE ID KUJA KUJIBU POST ZANGU!!!!!!!! Kama unataka majibu yangu TUMIA REAL ID YAKO!!!!!!!!!! Vinginevyo siongei na fekeroooooooooo!!!!!!
 
kama diva loveness love wa clouds fm vile.!

we endelea kuwa 'diva'...and the only diva

Hahahaha hawa madiva wanamaigizo hawa hahahahaha wanajiona madiva sana kama yule utoko wa clouds hahah
 
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa! NAONA UMETUMIA FAKE ID KUJA KUJIBU POST ZANGU!!!!!!!! Kama unataka majibu yangu TUMIA REAL ID YAKO!!!!!!!!!! Vinginevyo siongei na fekeroooooooooo!!!!!!


acha kuchanganya madawa ww
unaona kama wote ni feki kama ww nn???????
u just hv to b real,sijapenda ushauri na usela mavi wako thats all,eti kubwa la maadui unacheza ww
 

Nini tena Jamani gfsonwin. Nimefanza nini tena Bandugu. Miye mzima wa afya, najaribu kuikimbiza shilingi ili niongeze mitego qa kinadada. Hii ni qa vile Mungu aliwaumba qa ajili ya Nyamaume wala sio kinyume chake.

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…