Pole sana huyo naona si wako tena
Kama amesema hawezi kumwacha huyo mwingine
Tulia tuli utapata wa kwako huyo naona hakuwa wako..ni mzinzi
uzinzi wake umeung'amua baada ya kutoka na mwingine?maana inaonesha kabla ya huyo mpya,jamaa alikua AKIZINI NA Simplelady
Last edited by a moderator: