Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,819
Time will heal all the wounds, jipe moyo utapona tu.
Habari zenu wana jf. Mchumba wangu nimemfumania na mwanamke mwengine na kwa hasira nikagombana na huyo mchmba wangu, pia niakenda kumwambia huyo mwanamke amwache mchumba wangu. Lakini mwanaume akasema mimi siwezi mwacha huyo mwanamke kwani nampenda.
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma sana kwa kitendo alichonifanyia huyu bwana na sasa nimekuwa mpweke kwani sikuwa na mwanaume mwingine wa pembeni ambaye labda angenifariji sasa.
Naomba ushauri wenu nifanyeje ili kukabiliana na maumivu haya ya mapenzi?
uwiiiiii.....hebu nikuPM tuongee kwa kirefu......haya maswala yeshakuwa mengi sasa.....
we una back up ngapi?
Habari zenu wana jf. Mchumba wangu nimemfumania na mwanamke mwengine na kwa hasira nikagombana na huyo mchmba wangu, pia niakenda kumwambia huyo mwanamke amwache mchumba wangu. Lakini mwanaume akasema mimi siwezi mwacha huyo mwanamke kwani nampenda.
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma sana kwa kitendo alichonifanyia huyu bwana na sasa nimekuwa mpweke kwani sikuwa na mwanaume mwingine wa pembeni ambaye labda angenifariji sasa.
Naomba ushauri wenu nifanyeje ili kukabiliana na maumivu haya ya mapenzi?
Habari zenu wana jf. Mchumba wangu nimemfumania na mwanamke mwengine na kwa hasira nikagombana na huyo mchmba wangu, pia niakenda kumwambia huyo mwanamke amwache mchumba wangu. Lakini mwanaume akasema mimi siwezi mwacha huyo mwanamke kwani nampenda.
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma sana kwa kitendo alichonifanyia huyu bwana na sasa nimekuwa mpweke kwani sikuwa na mwanaume mwingine wa pembeni ambaye labda angenifariji sasa.
Naomba ushauri wenu nifanyeje ili kukabiliana na maumivu haya ya mapenzi?
na sisi tusio na PM inakuwaje? Halafu bora ya yeye amekuta watu hawajagandana...wangegandana je si ndio kelele zingeongezeka?
acha bana.....watu tushapigwa matukio.....mpaka tukawa wa yellow....nafasi tulizobakiza moyoni ni za kula bata peke yake.....
Habari zenu wana jf. Mchumba wangu nimemfumania na mwanamke mwengine na kwa hasira nikagombana na huyo mchmba wangu, pia niakenda kumwambia huyo mwanamke amwache mchumba wangu. Lakini mwanaume akasema mimi siwezi mwacha huyo mwanamke kwani nampenda.
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma sana kwa kitendo alichonifanyia huyu bwana na sasa nimekuwa mpweke kwani sikuwa na mwanaume mwingine wa pembeni ambaye labda angenifariji sasa.
Naomba ushauri wenu nifanyeje ili kukabiliana na maumivu haya ya mapenzi?
nimepata thomo hapaHee?? Mweeehh pole wajameni.........aisee nayajua hayo maumivu yalivyo makali kwako kwa sasa.......
Moja: Usikurupuke kuwa na mwanaume mwingine kwa sasa sababu for sure utakuwa umefanya maamuzi si sahini kwa sana sababu ya kuwa na hasira na maumivu vumilia tu yatakwisha haya wala usijali mdada...............
Tulia kabisa tena kama unaweza ukiona muda huna cha kufanya kanunue/kakodi CD za kina Ray (hata kama huzipendi/huangilii) jitahidi uangalia upoteze muda na ucheke kidogo....... ama tafuta kijishughuli hata kupiga deki/kuosha vyombo nk hapo mawazo yatajikuta yanaondoka
Lingine: Hebu kumbuka yale maudhi amewahi kukufanyia mkiwa wote hapo hutamtamani tena kumuona..............ha ha ha hii ndo njia mie hutumia kumsahau mtu sikumbuki mazuri yake.......................
Pole sana na pm nikupe maushauri ya kiutuzima.