Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

dk slaa kwisha habari yake kwan anahatimiliki ya kugombea urais

Hatuhitaji ushauri kutoka Ccm wala watu wa lowasa katika hili. Naomba mkae mbali na sisi. Wewe siku zote CHADEMA inajengwa unaitukana tunakujua. Hujawahi kuwa na nia njema hata siku moja. Hii unayoifanya hapa ni kazi ya shetani ambaye kwako ni mungu. Nenda kamwambie shetani tumekufukuza, hatuhitaji uwepo wako.

Watu wa lowasa wana tabia za uccm na msidhani hatuwajui.. UKAWa wanahitaji kura zenu na si zaidi. Msitegemee lolote na hata kama fisadi wenu atakuwa raisi, hatakuwa na uhuru wa kufanya upumbavu kama milivyokuwa kule ccm. Hivyo ninyi subirini tarehe 25 mfanye kazi yenu muishie hapo. Hatuwategemei kwa lolote.

Habari ya CHADEMA tuachieni wanamabadiliko. Mmetukuta nacho kimeng'arishwa na kuimarishwa, ni vizuri mkakaa kwa adabu mkijua sehemu mlipo siyo ile ya kichawi chawi mliyozoea. Jifunzeni kuishi kwa ustaarabu wa chadema. Vinginevyo hata huyo fisadi wenu tutampiga chini.
 
kwa namna cdm walivfanya hasa kipindi hiki ambacho chama kilikuwa imaravni dhahiri ccm itatawala milele...
 
Aache hasira atumie busara a some alama za nyakati aangalie movement ya ushawishi aendenayo otherwise anaweza kupoteza heshimayake kwa sisi watanzania tunaopenda mabadiliko ambayo ccm ndiokikwazo nandiomaana tunatakiwa kuwa na mbinu thabiti za kuhakikisha magamba yanaondoka.

Kama akizidi kukomaa tutamuelewa tofauti.
 
Amani iwe kwenu watanzania wote!

Kumekuwa na mtikisiko ndani ya Chadema baada ya Dr slaa kutoonekana ndani ya vikao vya chama. Bila Dr slaa Lowassa huwezi kushinda urais hili liko wazi.

Kama unania njema ya kwenda Ikulu nakuomba kwa kutumia hiyo nia njema liunganishe Taifa kwanza kwa kumrudisha Dr Slaa Chadema. Ukishindwa hilo najua wewe ni msanii hutufai umekuja kutubomoa!

Nimekuwa kwenye maombi kwa siku 5 bila kula mlo wa kutosheleza ili Dr slaa arudi Chadema.

Mungu ibariki Chadema, Mungu mbariki Dr slaa, Mungu ibariki Tanzania.
Amina!

Hili ni doa kubwa sana. Dr namshauri kukubali kujishusha ili tupate upinzani wa kweli. Akubali win win situation. Kiukweli muda huu ulitakiwa utumike katika Umoja na Mshikamano mkubwa. Kama hali hii itaendelea, ni doa kubwa sana!
 
dr. slaa simama imara kuongoza jahazi. walikukosea sasa wanajuta,na wanakili kushindwa kwao ila kutokana utu uzima wanashindwa kusema adharani. Tumia busara dr.slaa tuungane pamoja ili tuyafikie malengo ya kutoa madarakani CCM.
 
Hili ni doa kubwa sana. Dr namshauri kukubali kujishusha ili tupate upinzani wa kweli. Akubali win win situation. Kiukweli muda huu ulitakiwa utumike katika Umoja na Mshikamano mkubwa. Kama hali hii itaendelea, ni doa kubwa sana!

Naam! Hilo neno, tuombe sana watanzania wote tuwe wamoja. Dr slaa ni muhimu sana kwa sasa kuliko hata Lowassa, ni bora tuchelewe kufika Ikulu lakini tufike ikulu tukiwa wamoja.
 
au labda awe NA kristo wake tofauti NA huyu JESUS CHRIST!

TUNAFUNDISHWA TUSAMEHEANE 7 ×70
 
Mbowe na mashabiki wake wanaweza wasielewe madhara ya hii hatua wanayoipigia debe sasa, ila ukweli unabaki palepale kwamba Chadema sasahivi haijulikani inapigania nini.

Mimi kama mwananchi wa kawaida sijui misingi ya itikadi ya Chadema ni ipi kwa sasa. Je ni kuingia ikulu tu; na wakishindwa kuingia ikulu Chadema watatuambia nini, wakati tayari wameshakana "principles" zao; kwamba wao ni chama kinachopinga ufisadi nchini?

Najiuliza, next time Chadema watasafiri kwenda nchi tajiri kutafuta support ya kitu gani kama wameamua kwamba ufisadi siyo vita wanayopigana nayo?
 
Watanzania ni rahisi sana kudanganywa na kuridhika mapema, na ni wepesi sana kusahau, hiyo ndo sifa mama, Mbowe anacheza na akili za watu, alisems hakuna ugomvi wowote na Dr. Slaa, jana kaibuka na kusema kuwa kulitokea tatizo na Dr.slaa ila mambo yako poa kwa ss na mzee kachukua likizo ili apumzike kidogo, wajumbe wakashangilia pwa pwa pwa,

Kimsingi katumia akili sana kutuliza mzuka wa wajumbe ili wamalize mambo yao wakiwa wamoja, make ingekuwa ngumu sana kuendesha mikutano yao, na wanachadema wameridhika na maelezo ya Mbowe kwa 100% na wamesahau kuwa jamaa aliwambia kuwa hakuna ugomvi wowote. Lakini nina imani kuwa tutafika tu.
 
Siipendi cdm. Lkn msimamo wa dk Slaa taukumbuka daima. Huyu mtu ana sifa zote, msomi, mkongwe na mweledi wa siasa. Anajipambanua kwa kuchukia wahujumu uchumi/mafisadi. Sioni muujiza wowote wa kumkutanisha na Lowasa. Slaa hana bei ila ana principal anazoishi nazo. Utu wake uko kwenye ukweli wake. Namshauri aende CCM, CCM wamemsikia wamemwelewa na wameanza kazi ya kuwafyeka mafisadi. Slaa anajua ufisadi ni hulka, haupo ktk maandiko ya vyama. Kwa hiyo, mtu anahama na hulka na anaachana na makatazo ya maandiko!!!

Ana principal kumzidi Mungu .Mungu alimchukua Sauli aliyekuwa anawaua watu wa Mungu akampa uongozi wa watu walewale aliokuwa anawaua .na safari hii kwa jina jipya la Paulo .ambaye ndio mwanzilisha wa wakristo wote unao waona leo.Sasa yeye Dr ana principal gani zilio tukukaa na takatifuu kumshinda Mungu.
 
Bavicha: chadema members and fans kwa hili kuhusu Dr. Slaa mmechelewa: your leader ( mbowe ) might be wrong learn to think for yourself
 
Mbowe na mashabiki wake wanaweza wasielewe madhara ya hii hatua wanayoipigia debe sasa, ila ukweli unabaki palepale kwamba Chadema sasahivi haijulikani inapigania nini. Mimi kama mwananchi wa kawaida sijui misingi ya itikadi ya Chadema ni ipi kwa sasa.Je ni kuingia ikulu tu; na wakishindwa kuingia ikulu Chadema watatuambia nini, wakati tayari wameshakana "principles" zao; kwamba wao ni chama kinachopinga ufisadi nchini? Najiuliza, next time Chadema watasafiri kwenda nchi tajiri kutafuta support ya kitu gani kama wameamua kwamba ufisadi siyo vita wanayopigana nayo?
 
Kinachokuumiza unakijua wala sio Dk. Slaa!unaumizwaje na mtu aliyepumzika?kwani huyu roboti?amekwambia kakihama chama?acha unafiki wako tulia dawa ikuingie
 
Kurudi haitasaidia kama bado anachuki. Anapaswa kulaumiwa Yule ambaye amefanya Dr kususa.
 
Ana principal kumzidi Mungu .Mungu alimchukua Sauli aliyekuwa anawaua watu wa Mungu akampa uongozi wa watu walewale aliokuwa anawaua .na safari hii kwa jina jipya la Paulo .ambaye ndio mwanzilisha wa wakristo wote unao waona leo.Sasa yeye Dr ana principal gani zilio tukukaa na takatifuu kumshinda Mungu.

Rafiki,Sauli na Petro ni wa tu wawili tofauti.Petro alikuwa Paulo,na Sauli alikuja kuwa Paul,ALiyeambiwa atakuwa mwamba na juu ya mwamba ataliweka kanisa ni aliyekuwa Paulo akaitwa Petro,huyu mwingine alikuwa Mfia dini Mtume Paulo.Sawa usichanganye mambo.

Huyu mwenye hulka ya kibapari ataweza kubadilika bila kumwekea masharti?Anachokihitaji Dr.Slaa ni kumwekea Masharti na nyie hamtaki awekewe?

Mgeni msiyemjiua mnamkaribisha jikoni?Shauri yenu.
 
Amani iwe kwenu watanzania wote!

Kumekuwa na mtikisiko ndani ya Chadema baada ya Dr slaa kutoonekana ndani ya vikao vya chama. Bila Dr slaa Lowassa huwezi kushinda urais hili liko wazi.

Kama unania njema ya kwenda Ikulu nakuomba kwa kutumia hiyo nia njema liunganishe Taifa kwanza kwa kumrudisha Dr Slaa Chadema. Ukishindwa hilo najua wewe ni msanii hutufai umekuja kutubomoa!

Nimekuwa kwenye maombi kwa siku 5 bila kula mlo wa kutosheleza ili Dr slaa arudi Chadema.

Mungu ibariki Chadema, Mungu mbariki Dr slaa, Mungu ibariki Tanzania.
Amina!

Mbowe amenunuliwa na ccm,kwa kumleta lowasa,kubomoa Upinzani,Inawezekana LOWASA ametumwa na CCM kuua upinzani,Mbowe kwa uroho wa Hela amekiuza chama,Hafai huyo mbowe,anapenda hela kuliko maslahi ya watanzania
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Mh.Mbowe na Mh.Tundu Lisu wamenukuliwa wakiweka wazi kuwa Dr.Slaa alikubali na alitoa michango yake ya kuunga mkono ujio wa Mh.Lowasa CHADEMA.Hata wakuu wengine kina Prof.Beregu wameweka wazi kuwa yale ni maamuzi ya kamati.Sasa kama alivyojitokeza kukemea upotoshaji wa Yericko humu Jamiiforums,tunaomba ajitokeze kukemea huu upotoshaji wa kina Lissu.Sitaki kuamini kama Mh.Mbowe umemlisha Dr.Slaa maneno ya kuunga mkono ujio wa Lowasa,hivyo kile alichokiita Dr.Slaa kwa Yericko "Unafiki wa Kisiasa" Je,huu wa kuunga mkono maamuzi ya kikao na kumbe kinakuuma sio unafiki?
 
Back
Top Bottom