Ajataja miaka yamwanae kasemamtoto mmojaw unajuaje niwako....kwenyehilobado atukopamoja ingawa nashauri uje kawe kwagwajima tumrudishe mumeo uenjoynae kamabadounampenda usihofu anasemanini tunaitajikujua unaitajji ninii tumwite Mungu afanye
Ajataja miaka yamwanae kasemamtoto mmojaw unajuaje niwako....kwenyehilobado atukopamoja ingawa nashauri uje kawe kwagwajima tumrudishe mumeo uenjoynae kamabadounampenda usihofu anasemanini tunaitajikujua unaitajji ninii tumwite Mungu afanye
Pole kumbe tupo wengi... Kung'uta vumbi uendelee na maisha!
kuna movie moja ya america baba aliwatosa mama na mwanae,kijana alipokua akaanza kushirikiana na mama yake,akaanza kucheza basketball akakubalika,siku anapewa dili kubwa ya kusajiliwa baba naye anakuja na kudai ni mtoto wake
Inaonekana huna shughuli ya kufanya wewe...
Ni nini lilikua lengo la wewe kujitongozesha huko facebook?
Huwa tunaishi mara moja tu, kukosea sio kipimo cha kushindwa bali ni dalili kuwa angalau kuna kitu umejaribu...
Tunza mtoto huyo acha kuhangaika na watu wasiojua thamani ya maisha yako...
Hii story mie niliisoma kwenye novel flan...