Nimeumia sana

Nimeumia sana

Mtandaoni kwanini mpaka uumie ? 😂😂😂
TAIFA linazalisha Vijana wanaopenda kufarijiwa sana
Ooh? Hata msibani watu hufarijiwa. Sio kwamba wanapenda kufarijiwa ila ni kawaida ya binadamu pale mtu anapokuwa amehuzunishwa biala hiari yake. Je ww hupendi kufarijiwa i.e. Watu wenzio wakuoneshe kwamba "Tuko pamoja?"
i.e. Kuliwazwa ni faraja na kitulizo kwako.
 
Ooh? Hata msibani watu hufarijiwa. Sio kwamba wanapenda kufarijiwa ila ni kawaida ya binadamu pale mtu anapokuwa amehuzunishwa biala hiari yake. Je ww hupendi kufarijiwa i.e. Watu wenzio wakuoneshe kwamba "Tuko pamoja?"
i.e. Kuliwazwa ni faraja na kitulizo kwako.
Kufarijiwa humu JF ? Big no aisee
 
Ukipitia threads mbalimbali hapa JF, unaweza dhani WanaJF wana upendo kwa taifa na vijana, binafsi nilikuwa naona JF ni jukwaa mahususi kwa kuwejenga vijana na taifa bora.

Jambo la ajabu sana, siku ya jana nimepost Uzi juu appreciation yangu kwa Dkt. Haya Land, WanaJF wengi wameni-attack na kuniita chawa, jambo la ajabu sana. Kwanini mnakuwa na wivu, chuki na ubinafsi kiasi hicho?
inauma,
lakini inakubidi uzoe tu 🐒
 
Pole sana mkuu, wengi wetu humu tuna matatizo ya akili na misongo ya mawazo. Tuelewe tu na baada ya muda usipokuwa makini na wewe unaweza kuwa kama sisi.
Tayar ashakua kama sisi sema anavungaa tu
 
Back
Top Bottom