Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Nikiwa ni mmoja wawatu walio bomolewa nyumba zao maeneo ya kimara ,pamoja na biashara kuharibika, jana nilipoona Muheshimiwa Mtukufu Raisi wangu kutamka maneno haya nimesikia moyo umekufa ganzi nikawaza kwanini sisi Na kwanini wao?? Of coz Nimeumia nikiwaza nilivyo vuja jasho kubeba zege nakufanikiwa kujenga kakibanda kangu na siku kana bomolewa nilitoa machozi na niliumia sana. Hii inaumiza