Nimeumia kwa kauli hii

Nimeumia kwa kauli hii

Pole sana kiongozi, hapa kilichopo ni kufanya maamuzi magumu ya kukataa kabisa watawala wenye kujenga matabaka, makundi na utengano katika jamii yetu. Nchi moja lakini kuna wenye kuvunjiwa nyumba na wasioguswa. Kwa matabaka haya kulazimishwa katika jamii ya watanzania nadhani ni wakati sasa kupinga kwa nguvu utawala huu usiotutakia mema watanzania.
 
Ntakushangaa mpk 2020 umekomaaa dar nenda kanda ya ziwa hata ukijenga barabarani hutabomolewa,wanaume wa dar mjiongeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom