Hujajibu bado.Kila awamu na ahadi yake wanaolalamika saiv enzi za JK waliahidiwa hawatabomolewa sasa na hao wanaahidiwa hazitabomolewa watabomolewa awamu ijayo. Kila enzi na zama zake
Sijawah ona sehemu pana bomolewa paap na kujengwa hapo hapo haijawah tokea inachukua muda kidogo
Kanda ya ziwa wao hawafai kubomolewaKila awamu na ahadi yake wanaolalamika saiv enzi za JK waliahidiwa hawatabomolewa sasa na hao wanaahidiwa hazitabomolewa watabomolewa awamu ijayo. Kila enzi na zama zake
Sijawah ona sehemu pana bomolewa paap na kujengwa hapo hapo haijawah tokea inachukua muda kidogo
Hujajibu bado.
Nimekuuliza kwa hiyo mkuu anawadanganya hao watu?
Kuna ulazima gani wa kubomoa kipindi ambacho huna mipango ya kufanya maendelezo haijawa tayari? Ikiwa ni wewe unasema upo kwa ajili ya masikini.
Kanda ya ziwa wao hawafai kubomolewa
Ushahidi ninaoUna huakika gani kuwa nilipiga ukawa?
Nyie wanaume wa Dar si mlimpigia kura Edward Lowassa wacha awakomeshe
Kheee majanga yapi tena jamani niliyoleta ebu niambie tu hapa hapa ile mmelalamika nawatesa sana na mapajaAfadhali umeliona hili, Shunie afadhali pia umebadili avata yako maana ni majanga uliyoleta ,ntakwambia ukitoa permision kwenye pm yako maana umeblock hahaha
No sio sababu hiyo wala ,ila ilileta ugomvi, any way kuna vitu siwezi ongea hapa ila ukisoma nyuzi zangu za nyuma utaelewaKheee majanga yapi tena jamani niliyoleta ebu niambie tu hapa hapa ile mmelalamika nawatesa sana na mapaja
Khaaaa ile avatar ndio ulikuwa unaizungumzia kwahiyo na wewe unashare na kina diamond ile picha ni ya ireneNo sio sababu hiyo wala ,ila ilileta ugomvi, any way kuna vitu siwezi ongea hapa ila ukisoma nyuzi zangu za nyuma utaelewa
Nilipanga kukuuliza tukionanaMakubwa haya sasa picha ya Irene kweli ya kukushtua na wakati zipo tu zinazagaa
Haya sasa hivi nimejiweka mwenyewe kumbe ule uzi ulikuwa unanihusu mbona nilicomment hujaniuliza sasa![]()
Usijali tukionana tu kule unapopendaga kwenda ntakwambiaMakubwa haya sasa picha ya Irene kweli ya kukushtua na wakati zipo tu zinazagaa
Haya sasa hivi nimejiweka mwenyewe kumbe ule uzi ulikuwa unanihusu mbona nilicomment hujaniuliza sasa![]()
Nilipanga kukuuliza tukionana
WapiiiiUsijali tukionana tu kule unapopendaga kwenda ntakwambia