adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,037
- 15,525
Km waarabu wamavyouliwa kule kwamba magaidi kumbe sio wotewataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!