wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Ingekuwa ni wanaume wa dar mtaazima ungefungwa kwa kuogopaKaingia bila taarifa nikaamua kumuulia mbali huko!.View attachment 827792
Ingekuwa ni wanaume wa dar mtaazima ungefungwa kwa kuogopaKaingia bila taarifa nikaamua kumuulia mbali huko!.View attachment 827792
Wanaume wa Dar hawatafungua huu Uzi
Ingekuwa ni wanaume wa dar mtaazima ungefungwa kwa kuogopa
Kwahiyo unamaanisha chatu hana madhara kwakuwa hana sumu?wataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!
Mhhh! Utakuwa umezaliwa na kukulia darisalama!Nyoka anaishi ndani ya nyumba inasemekana hadhuru mtu. BTW huyo anaonekana kuwa ni chatu, hana madhara kwa watu mjini ila kwa mifugo pekee.
Vv
Nina hasira na hao watu......watu wa maliasili watoe elimu hapa then watoe namba zao ambazo watu tutawatafuata pale ambapo wadudu au wanyama wa porini wanapovamia makazi yetu,
Nimekulia Dar ila nimeishi kijijini kwa muda na nilikuja kugundua kuwa tulikuwa tunalala na nyoka baada ya kumbaini na kumuua. Kuna tukio la miaka miwili iliyopita nakumbuka ile nafungua mlango tu niingie ndani kumbe ndiyo namdomdosha aingie chumbani, ilibidi nimuue na nikaingia kulala kama kawaida.Mhhh! Utakuwa umezaliwa na kukulia darisalama!
Uliwahi kukumbana na chatu huko kijijini?Nimekulia Dar ila nimeishi kijijini kwa muda na nilikuja kugundua kuwa tulikuwa tunalala na nyoka baada ya kumbaini na kumuua. Kuna tukio la miaka miwili iliyopita nakumbuka ile nafungua mlango tu niingie ndani kumbe ndiyo namdomdosha aingie chumbani, ilibidi nimuue na nikaingia kulala kama kawaida.
Vv
huyo hana madhara lakini anamezaga watu na mbuzi.wataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!
Nadhan upo mjin wewe,sisi wa vijijin tunapata case za watu kufa au kupata vilema kwa aajili ya madhara ya nyokawataalam wa nyoka wanasema ni 20% tu ya nyoka ndio wenye sumu inayoweza kumdhuru mwanadamu, hivyo basi kwa ignorance yetu tunaua maelfu ya nyoka wasio na hatia wala madhara!
Ngoja waziri mhusika aponeKaingia bila taarifa nikaamua kumuulia mbali huko!.View attachment 827792
Daaahh we jamaa ni wa tofauti!!Mimi na nyoka ni vitu viwili tofauti!Napenda nyoka sana sijui kwanini
Sasa akitokea ndani unafanyaje? Na uko wa wifi pembenDaaahh we jamaa ni wa tofauti!!Mimi na nyoka ni vitu viwili tofauti!