Nimetumia dawa za H-pylori kwa wiki moja ili sipati ahueni, naomba msaada wa dawa

Nimetumia dawa za H-pylori kwa wiki moja ili sipati ahueni, naomba msaada wa dawa

Ninatumia dawa za h-pylori dozi ya pili leo natimiza wiki moja ila sipati afueni yoyote kizunguzungu km nataka kuanguka bado kipo mwili kujiskia vibaya hali bado ipo,nikitembea kdg tu maruerue km naanguka bado yapo,ivi niendelee na dawa au nirudi hosptal?
Pole sana mrembo sema mimi sio.Dr ila nimejitolea kukuliwaza kipindi hiki chote.

Tuzame Dm kidogo.
 
Achana na hiyo h pylori, nenda kachukue dawa zifuatazo zita kusaidia kisha nita kuelekeza dawa ya mitishamba bure.

  • amoxicillin 2*3
  • Omeprazole 1*2 -3 depending na maumivu.
  • tramadol 1, ka yakizidi asubui na jioni.
  • magnesium ya maji, piga ile kubwa.

Changamka chap, maana hapo yapo kwenye dalili mbaya.

Usile dagaa, maharage, limao, vyakula vya moto sana. Pia zingatia kutokunywa dawa zenye Diclofenac ndani yake kama vivian au diclopa.
 
Achana na hiyo h pylori, nenda kachukue dawa zifuatazo zita kusaidia kisha nita kuelekeza dawa ya mitishamba bure.

  • amoxicillin 2*3
  • Omeprazole 1*2 -3 depending na maumivu.
  • tramadol 1, ka yakizidi asubui na jioni.
  • magnesium ya maji, piga ile kubwa.

Changamka chap, maana hapo yapo kwenye dalili mbaya.

Usile dagaa, maharage, limao, vyakula vya moto sana. Pia zingatia kutokunywa dawa zenye Diclofenac ndani yake kama vivian au diclopa.
Heligo kit👏

hapo angejazia na tinidazole angepata heligo kit
kabisa kwa bei nafuu
 
Back
Top Bottom