thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 201
Tulia mkuu umeshachelewaWadau mie nimetokea sana kumpenda huyu kinara wa tanzania wa matokeo ya form 6 FAITH P ASSENGA
Nataka mawasiliano nayo.
Tulia mkuu umeshachelewaWadau mie nimetokea sana kumpenda huyu kinara wa tanzania wa matokeo ya form 6 FAITH P ASSENGA
Nataka mawasiliano nayo.
Ndo yeye huyo?? iseee napeleka mbege marangu
Of course******! Mbona vyuon hawaonekan hao tz one? Watoto wa wakulima wanaotoka na div 2 au 3 ndio wanaburuza?
Iyo tabia umeijulia wap wakati Ata ujawai muonai love her so much,
ila one day nitaonana naye nakumpa ukwel wangu wa moyoni
uzuri co xura jaman bali uzuri ni tabia na ukarimu pia na busara ya mtu.mie nimempenda jinc alivyo na co xura.